DIAMOND PLATNUMZ KUCHANGIA KODI YA PANGO KWA KAYA 500 NCHINI

Msanii Nyota wa muziki wa kizazi kipya a.k.a BongoFleva Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz, amesema kuwa atachangia ‘kodi ya pango’ kwa kaya 500 nchini kwa ajili ya kupunguza makali ya kiuchumi wakati huu ambapo Watanzania wanapambana dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19).
''Najua katika kipindi hiki cha Corona, mambo mengi hayajakaa sawa, hususani upande wa biashara, nyingi zimeshuka na kupelekea hali ya kifedha kuyumba na mambo kuwa kidogo magumu kwa wengi wetu... na mimi ni miongoni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
ALICHOKISEMA HAJI MANARA BAADA YA MSANII DIMAOND PLATNUMZ KUTANGAZA KUCHANGIA KODI KWA KAYA 500 NCHINI

SIKU moja baada ya msanii marufu nchini Nassib Abdull a.k.a Diamond Platnumz kutangaza kuchangia Kodi ya pango kwa kaya 500 nchini ,Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ameamu kivunja ukimya huku akimtaka auoe ili wakakutane peponi.
Diamond kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii ametangaza kusaidia kuchangia kod kwa kaya hizo 500 na utaratibu kwa watakaochangiwa utatolewa kesho Jumatatu ya Aprili 27 mwaka huu.
Baada ya ujumbe huo ,Manara ameamua kumpongeza Diamond...
10 years ago
Dewji Blog11 May
Hospitali ya AMI kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu
Na Mwandishi Wetu
Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara imeamuru kufurushwa kwenye jengo hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Msasani Jijini Dar es Salaam, baada ya kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za kimarekani milioni 1.6 (zaidi ya Shilingi Bilioni tatu za Kitanzania).
Hatua hii imefikiwa baada ya mabishano ya muda mrefu ya kisheria baina ya AMI na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa jengo hilo, Bw....
10 years ago
Michuzi11 May
Hospitali ya AMI hatarini kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu
Hatua hii imefikiwa baada ya mabishano ya muda mrefu ya kisheria baina ya AMI na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa jengo hilo, Bw. Navtej Singh...
5 years ago
MichuziMABULA ATAKA MALIPO YA KODI YA PANGO LA ARDHI KWA MITANDAO YA SIMU KUEPUKA CORONA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kilipia kodi ya pango la ardhi kufanya hivyo kupitia mitandao ya simu za viganjani ili kuepuka misongamano inayoweza kuchangia maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt Mabula alitoa tahadhari hiyo juzi wilayani Bariadi mkoani Simiyu alipozungumza na Wakurugenzi na Watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri za mkoa wa Simiyu akiwa katika ziara ya...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Kodi ya pango yawaliza wenye vibanda Karagwe
5 years ago
MichuziWADAIWA KODI YA PANGO LA ARDHI KUANZA KUSAKWA NCHI NZIMA
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza operesheni maalum ya kuwasaka wadaiwa wote sugu ya kodi ya pango la ardhi na kuwafikisha katika vyombo vya sheria ili kufidia madeni wanayodaiwa.
Akizungumza na Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa katika jiji la Dodoma leo tarehe 6 Machi 2020 Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Methew Nhonge alisema opresheni hiyo inaanza leo kwa nchi nzima ambapo wamiliki wote waliopelekewa ilani za madai wanatakiwa kulipa madeni...
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WANANCHI KULIPA KODI YA PANGO LA ARDHI SHINYANGA
5 years ago
Michuzi
Dkt. Mabula Awaka, Wakurugenzi Hawafuatilii Wadaiwa Sugu Kodi ya Pango la Ardhi.

Makazi, Dkt. Angeline Mabula akizungumza na Wakurugenzi pamoja na Wataalam wa Idara ya Ardhi wa Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu kuhusu ukusanyaji kodi ya Pango la Ardhi pamoja utunzaji wa nyaraka za
sekta ya Ardhi.

Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula, Akikabidhi vitendea kazi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bariadi Mjini, Melikzedek Humbe kwa niaba ya Halmashauri zote za Mkoa wa Simiyu mara...
11 years ago
Bongo515 Aug
Diamond Platnumz ashinda tuzo nyingine nchini Burundi