Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauza mihadarati Mexico wajipange

Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto ametangaza vita kati ya serikali za manispaa ya nchi hiyo na magenge ya wauza mihadarati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Indonesia yawanyonga wauza mihadarati

Indonesia imewanyonga wafabiashara wanane wa mihadarati baada ya kutoa hukumu ya kifo dhidi yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msako mkali Mexico wa muuza mihadarati

Mamlaka ya nchini Mexico limeanza msako mkali wa kumtafuta Joaguin Guzman gwiji la biashara ya madawa ya kulevya duniani, kufuatia kutoroka kwake katika gereza lenye ulinzi mkali mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

Habarileo

Kitwanga asema hana orodha ya wauza mihadarati

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga amesema hana orodha ya majina ya watu wanaouza dawa za kulevya na hana muda wa kushughulika na hiyo inayoitwa orodha. Badala yake, amesema chini ya uongozi wake ataweka mifumo itakayosaidia kudhibiti uingizaji wa dawa hizo nchini. Akizungumza jana na waandishi wa habari Dar es Salaam baada ya kufanya kikao na maofisa wa ngazi ya juu wa Polisi, Kitwanga alisema wamekubaliana kuhakikisha dawa za kuleya zilizoko nchini zinakamatwa na kuteketezwa.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri ataka Bunge la Katiba wajipange

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar wametakiwa kujipanga upya katika mchakato wa Bunge lijalo kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi kero za Muungano.

 

10 years ago

Mwananchi

Majaji wajipange kupokea kesi za Uchaguzi

Watanzania watakuwa wamehamasishwa na kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman kwamba chombo hicho kinatambua fika kwamba amani ya Taifa iko mikononi mwa  mhimili huo wa Dola hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao.

 

10 years ago

GPL

MALAIKA: KWA PENZI LANGU, MAPEDESHEE WAJIPANGE

Mwanamuziki anayefanya poa, Diana Malaika ‘Malaika’. Andrew Carlos  Mwanamuziki anayefanya poa, Diana Malaika ‘Malaika’ amefunguka kuwa wapo wanaume kibao wanaomtaka kimapenzi lakini kutokana na namna alivyoweka muziki mbele, mapedeshee hao wajipange sana kumnasa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1J3UnJ1

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii wajipange kuepuka aibu ya kutembeza bakuli

KUCHANGIANA ni  utaratibu unaofanyika katika kila jamii ya watu walioishi vema, hasa kwa mazingira ya Kitanzania, jambo ambalo limekuwepo tangu enzi. Kwamba, mtu akipata tatizo, uwe msiba au uzazi, ilikuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...


LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmimpenzi wake mpya ambaye amedai ni msaniimkubwa wa nchini Nigeria.LinahAkizungumza na kipindi cha Planet Bongo chaEast Africa Radio, Linah alisema anampendampenzi wake huyo mpya na kwamba siku ikifika,ataamua kumweka wazi ili mashabikiwamtambue.“Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwasana, yaani huyo nampenda na hii sio project iporeal, mtamuona tu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani