Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Indonesia yawanyonga wauza mihadarati

Indonesia imewanyonga wafabiashara wanane wa mihadarati baada ya kutoa hukumu ya kifo dhidi yao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wauza mihadarati Mexico wajipange

Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto ametangaza vita kati ya serikali za manispaa ya nchi hiyo na magenge ya wauza mihadarati.

 

9 years ago

Habarileo

Kitwanga asema hana orodha ya wauza mihadarati

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga amesema hana orodha ya majina ya watu wanaouza dawa za kulevya na hana muda wa kushughulika na hiyo inayoitwa orodha. Badala yake, amesema chini ya uongozi wake ataweka mifumo itakayosaidia kudhibiti uingizaji wa dawa hizo nchini. Akizungumza jana na waandishi wa habari Dar es Salaam baada ya kufanya kikao na maofisa wa ngazi ya juu wa Polisi, Kitwanga alisema wamekubaliana kuhakikisha dawa za kuleya zilizoko nchini zinakamatwa na kuteketezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ

Imeelezwa kuwa utumiaji wa dawa hizo miongoni mwa wanawake ni changamoto kubwa katika jamii,visiwani Zanzibar

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania uchochoro wa mihadarati

Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu za Afrika ambazo zimekuwa zikitumiwa na wahalifu wa kimataifa kupitisha dawa haramu za kulevya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {3}

Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba ambaye ameanza kufuja mali yake na kuwa mteja

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda walishwa mihadarati Kenya

Kumekuwa na shutuma kuwa Punda hutumiwa vibaya na baadhi ya wanaowamiliki Kenya na wengine wakidaiwa kupewa mihadarati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Janga la mihadarati lakera dunia

Mawaziri kutoka maeneo mbalimbali duniani wanakutana katika makao ya UN mjini Vienna kuzungumzia njia za kupambana dawa za kulevya.

 

11 years ago

Habarileo

Kigogo avuruga vita ya mihadarati

WAKATI Serikali ya Rais Jakaya Kikwete ikifanya kila linalowezekana kuhakikisha inapambana kwa dhati na biashara haramu ya dawa za kulevya, baadhi ya vigogo serikalini wametajwa kutaka kudhoofisha juhudi hizo kwa kukumbatia watuhumiwa waliokamatwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {1}

Ni ripoti ya kibinafsi ya kijana mmoja wa kiafrika aliyejipata katika ulanguzi wa mihadarati wa kimataifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani