Kigogo avuruga vita ya mihadarati
WAKATI Serikali ya Rais Jakaya Kikwete ikifanya kila linalowezekana kuhakikisha inapambana kwa dhati na biashara haramu ya dawa za kulevya, baadhi ya vigogo serikalini wametajwa kutaka kudhoofisha juhudi hizo kwa kukumbatia watuhumiwa waliokamatwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7r-AKLIegGYmyALpTDbzzSwyFjnI6yCS3LIH8RP5XLNcIaP*W7ZHpjUWf53Dj7PxF3DZwcTGO3PGmqlYVqXNwFb/kigogo.jpg?width=650)
KIGOGO WA WEMA ATANGAZA VITA NA DIAMOND
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Kikwete ‘avuruga’ mjadala
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Profesa Lipumba avuruga Bunge
11 years ago
GPLTambwe avuruga mazoezi Simba SC
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uev3ekxrwFQ/VYGHQHrvAiI/AAAAAAAHgic/QlfRrxvgsic/s72-c/blogger-image--1893807411.jpg)
CCM KUMEKUCHA JAJI RAMADHARA AVURUGA MWELEKEO WA WAGOMBEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uev3ekxrwFQ/VYGHQHrvAiI/AAAAAAAHgic/QlfRrxvgsic/s320/blogger-image--1893807411.jpg)
CV YA JUDGE RAMADHANI Nimezaliwa Desemba 28, mwaka 1945 Zanzibar mjini nikiwa ni mtoto wa pili kati ya watoto wanane, wa kike wanne na wanaume wanne. Ni Mkristo wa dhehebu la Anglikana.
Nimesoma shule mbalimbali za msingi Mpwapwa mkoani Dodoma 1952 -1953 nikaenda Town School-Tabora nikasoma darasa la tatu hadi la nne mwaka 1954-1956 na darasa la sita na saba nilisoma Kazel Hill sasa inatwa Shule ya Msingi Itetemia mwaka 1957-1958. Na darasa la nane tu mwaka 1959 nikarudi...
10 years ago
Bongo Movies19 May
Bomu Jipya: Hii ni Vita ya Utamaduni, Ni Vita ya Kutawaliwa Kiakili
AWALI kuna wale waliolalamikia kuhusu maadili hasa pale filamu za kitanzania zilipozuiliwa na watayarishaji wetu wakashindwa kujenga hoja kwa kuuliza kwanini sinema zao zikitamka tu neno la Shoga wanaambiwa watoe lakini za kutoka nje Mashoga wanaonekana, hapa kuna maswali mengi sana.
1. Kwanini balozi wa Korea kwa niaba ya nchi yake alikuwa anatoa tamthilia za kikorea zionyeshwe ITV bure?
2. Kwanini serikali ya China inaingia gharama za kutafsiri tamthilia zao kwa kiswahili na kuzitoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s72-c/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s640/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Tanzania uchochoro wa mihadarati
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ