Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowarudisha nyuma wasanii
Msanii yeyote anapoingia katika tasnia ya muziki, huwa ana malengo yake na wapo ambao ndoto zao hutimia kwa muda mfupi na wengine husota kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Jb Avutia Nyumbani, Aeleza Kukatishwa Tamaa
Muigizaji na muongozaji mkongwe wa filamu hapa Bongo, Jacob Stephen amewataka mashabiki kupenda kazi za nyumbani ili kuzipa uzito kwenye nchi za jitrani.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa filamu mpya ya MAHABUSU ambayo kwasaa ipo madukani; ambayo imemshirikisha marehemu Kuambiana, JB alisema kuna tabia ya wapenzi wa Bongo Movies kuponda kazi za wasanii kwa madai kuwa hazina uhalisia.
Hali hiyo alisema JB inafanya soko la kazi za wasanii kuwa ngumu pia katika nchi jirani.
"Hakuna kitu...
11 years ago
Dewji Blog12 Jul
Rais wa wachimba Madini John Bina awapa wasanii changamoto, wasikate tamaa
Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania John Bina akizungumza na wapenzi na washabiki wa msanii wa kizazi kipya wa mkoa wa Singida Small Jobiso, kwenye Pub ya Serengeti wakati wa utambilisho wa kikundi cha Watoto wa Chui.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Wasanii wa vikundi mbalimbali wametakiwa kutokata tamaa pindi wanapoanzisha vikundi vyao kwa kukosa wadhamini wa kuwaendeleza, bali wakaze buti iko siku watatoka tu.
Changamoto hiyo imetolewa jana mjini hapa na Rais wa Shirikisho la...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Wasanii wetu na tamaa ya ubunge
NILIWAHI kuandika makala nyingi kuhusu sanaa na wasanii wetu hapa nchini.
Egbert Mtui
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
9 years ago
Bongo519 Nov
Joh Makini ana ujumbe kwa wasanii waliokata tamaa
![11348151_1124679907544180_395111175_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11348151_1124679907544180_395111175_n-300x194.jpg)
Hitmaker wa Don’t Bother, Joh Makini amewataka wasanii kutokata tamaa hata wakiwa wametoa ngoma nyingi bila mafanikio.
Akizungumza na Stori Tatu kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Joh alisema wapo waliotoa ngoma 30 bila mafanikio lakini wimbo mmoja tu ukaja kuwabadilishia maisha yao.
“Kuna watu wanaimba nyimbo 10,20 hadi 30 lakini bado wanakuwa na maisha mabovu lakini anakuja kutoa wimbo wa 40 unabadili maisha yake yote,” alisema. “Lakini hata wimbo mmoja ukiutilia...
9 years ago
Bongo522 Oct
Sugu adai matarajio kuwa angesaidia wasanii ilikuwa changamoto kubwa kwake
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.