Jb Avutia Nyumbani, Aeleza Kukatishwa Tamaa
Muigizaji na muongozaji mkongwe wa filamu hapa Bongo, Jacob Stephen amewataka mashabiki kupenda kazi za nyumbani ili kuzipa uzito kwenye nchi za jitrani.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa filamu mpya ya MAHABUSU ambayo kwasaa ipo madukani; ambayo imemshirikisha marehemu Kuambiana, JB alisema kuna tabia ya wapenzi wa Bongo Movies kuponda kazi za wasanii kwa madai kuwa hazina uhalisia.
Hali hiyo alisema JB inafanya soko la kazi za wasanii kuwa ngumu pia katika nchi jirani.
"Hakuna kitu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowarudisha nyuma wasanii
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvuNAg-DOl6BlfFk2LD7K5DtVorvziMsaBVJ45kkKdpUDluaEb8cRR7pEkWylNaBgUaRAAmlEwVn9UQJMi3Z879F/image.aspx.jpg?width=650)
OBASANJO AVUTIA WENGI KWA KUJIPIGA PICHA KWENYE SIMU YAKE
10 years ago
Michuzi28 Aug
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Lowassa: Sijakata tamaa
*Asema ameshindwa pambano si vita
*Ajipanga upya agoma kueleza mikakati yake
*Ukawa wataka ZEC imtangaze Maalim Seif Z’bar
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAZIRI mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema ataendelea kupambana katika siasa na kwamba yawezekana ameshindwa katika pambano lakini si vita.
Lowassa aliyasema hayo jana katika mkutano na waandishi wa habari, baada ya kuulizwa nini hatima yake ya kisiasa baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba...
11 years ago
Habarileo04 Mar
'Watanzania acheni tamaa, ubinafsi'
WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amewataka Watanzania kuachana nxa ubinafsi kwa kuridhika na walichonacho. Pia, ametaka Watanzania kujiepusha na tamaa ya kile kidogo walichonacho watu wasio na uwezo.
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Bunge la Katiba linakatisha tamaa
TAKRIBANI wiki moja imepita tangu kuanza kwa vikao vya Bunge la Katiba mjini Dodoma, lakini hakuna kilichofanyika hadi sasa. Tangu Bunge hilo lilipoanza, tulianza kusikia mzozo wa posho, mara wabunge...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIECESdCxv*2*c1KrXEBZz8Ws7uC8eAnllDgwgGaYqfKTdIxCc3FJZGoQ-bYYQeyrWLVlqgQzyhaj8hFf3lJbRDv/college_students.jpg?width=650)
TAMAA, UTANDAWAZI UNAWAUMIZA MADENTI
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Je, unaweza kuishinda tabia ya tamaa?