Lemutuz Afunguka 'Najua Kwamba Mabebez Wengi Mnapigwa na Mamen Wenu Kwasababu Yangu...Msikate Tamaa The Day is Coming'

Good Morning Instagram Nation happy new year my people at Office Kikazi zaidi live at the Farm "Camp Davis" le Arusha Moja.....Ok najua sana kwamba I am hated na Mamen wengi sana na.ninajua sana kwamba kuna wanaojaribu kila wakati kunitegeshea na mitego mingi ya kitoto kusudi waje waseme nilikuwa na mke wa mtu I know that I was not born jana U know......najua kwamba mabebezz wengi hapa mnapigwa na.Mamen wenu kwa sababu yangu najua kwamba Mabebez wengi hapa mnazuiwa kuwasiliana na mimi na...
Vijimambo