UTASHI WA KISIASA WAHITAJIKA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs) YA 2016-2030
Meneja wa Program wa Restless Development,Oscar Kimaro akizungumza na vijana (Hawapo Pichani )kutoka asasi mbalimbali kuelelekea malengo 17 ya Maendeleo Endelevu (SDGs) iliyofanyika katika Makao Makuu Asasi hiyo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Asasi ya Hope Foundation for Social Interprenuership na Mratibu wa Kampeni ua Beyond 2015 Tanzania,Tumaniel Mangi akizungumza na vijana (hawapo pichani) juu ya kuwa mabalozi wa malengo 17 ya SDGs katika mkutano uliyofanyika Makao Makuu ya Asasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVIJANA WAUNGANA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI KATIKA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs)
Akizungumza na wadau wa Mabadiliko ya Tabianchi,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabianchi,Sixberty Mwanga amesema kuwa katika malengo 17 ya Maendeleo Endelevu Tanzania inatakiwa kushiriki na kukubali juu ya kuweza kupata fedha za kuweza kutekeleza malengo hayo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Malengo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CJGNaD1-rNg/Uxaqn9L6ZDI/AAAAAAAFRJU/X3yevlEsxZ8/s72-c/unnamed+(10).jpg)
TAKWIMU RASMI NA ENDELEVU NGUZO MUHIMU KATIKA UTEKELEZAJI WA SERA ZA MAENDELEO -UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Tanzania yajipanga kutekeleza Mpango mpya wa Maendeleo Endelevu (SDGs)
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza leo jijini Dar es salaam katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo Endelevu (SDGs).
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akizungumza katika mkutano wa wadau wa takwimu uliondaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wenye lengo la kujadili na kukubaliana jinsi ya kutekeleza mpango wa Maendeleo...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
UN kuandika Historia nyingine leo: Kujadili Agenda 2030 ya Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (SDG’s)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo ya Ujerumani na Mashirika ya Kimataifa kama vile Mpango wa Chakula Duniani, Mkutano uliokuwa ukijadili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na uhusiano wake na usalama wa chakula, lishe na afya. Mkutano huu ulifanyika siku ya alhamis katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ujeruman katika Umoja wa...
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Ukosefu wa uzalendo, utashi wa kisiasa katika kukuza Kiswahili
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7N9ELH5rsMI/Vefi1FIP0OI/AAAAAAAH1_k/Q_GaX0RAn-E/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s72-c/unnamed.png)
UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE: Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s640/unnamed.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hPIPvvePRgM/VgTo0YE2d0I/AAAAAAAH7Fo/ZXsiBlAtUaE/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Pasipo utashi wa kisiasa ujangili hautakwisha
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Katiba nzuri bila utashi wa kisiasa ni bure
DESEMBA 30, 2013, rasimu ya pili ya katiba imewasilishwa serikalini. Ni ishara kwamba tunaelekea kupata Bunge la Katiba, kura ya maoni na hatimaye katiba mpya kama itaridhiwa. Ukisikiliza maoni kutoka...