Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUU WA BIASHARA ENDELEVU WA VODACOM AKAGUA MAENDELEO YA ELIMU YA MAFUNZO YA KOMPYUTA KATIKA SHULE YA SEKONDARI KAMBANGWA‏

Mkuu wa kitengo cha mfuko wa huduma za jamii cha Vodacom "Vodacom Foundation"Yessaya Mwakifulefule (kushoto)akimsikiliza  Mkuu wa Biashara Endelevu wa kampuni hiyo Suraya Hamdulay,wakati alipotembelea darasa la mafunzo ya kompyuta katika Shule ya sekondari ya Kambangwa jijini Dar es Salaam,kujionea maendeleo ya mradi wa mpango wa kuziunganisha shule za Sekondari na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano,Uliofadhiliwa na Vodacom ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MKUU WA BIASHARA ENDELEVU WA VODACOM AKAGUA MAENDELEO YA ELIMU YA MAFUNZO YA KOMPYUTA KATIKA SHULE YA SEKONDARI KAMBANGWA

Mkuu wa kitengo cha mfuko wa huduma za jamii cha Vodacom "Vodacom Foundation"Yessaya Mwakifulefule (kushoto)akimsikiliza Mkuu wa Biashara Endelevu wa kampuni hiyo Suraya Hamdulay,wakati alipotembelea darasa la mafunzo ya kompyuta katika Shule ya sekondari ya Kambangwa jijini Dar es Salaam,kujionea maendeleo ya mradi wa mpango wa kuziunganisha shule za Sekondari na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano,Uliofadhiliwa na Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na Samsung. Mwanafunzi wa kidato cha...

 

10 years ago

GPL

SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION‏

Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Kinyerezi Tabata jijini Dar es Salaam, Judith Chalamila akiwaonesha moja ya kompyuta mpakato kati ya (24) wanafunzi wa kidato cha Nne baada ya kukabidhiwa msaada wa kompyuta hizo zilizotolewa naTaasisiyaVodacom Foundation.Mradi huo unaoendeshwa na Learning In Sync ni kwa ajili ya wanafunzi wa shule za sekondari kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo mashuleni. Wanafunzi wa...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA‏

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akipokelewa na Mabalozi wa shule ya sekondari ya Imperial wakati alipowasili kwenye banda la shule hyo jana na kupata maelezo mbalimbali kutoka kwa Mkuu wa shule hiyo na waalimu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akiingia katika banda la shule ya sekondari Imperial.… ...

 

11 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA KAMBANGWA WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA KOMPYUTA WA VODACOM NA SAMSUNG

Wanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari ya Kambangwa iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam,wakioneshwa na Meneja miradi na Mawasiliano wa Vodacom Foundation Renatus Rwehikiza moja ya progamu zinazopatikana katika Kompyuta zinazowawezesha kupata taarifa ya masomo mbalimbali kwa njia ya mtandao wakati alipotembelea shuleni hapo kwa ajili ya kujua maendeleo ya mradi wa TEHAMA uliofadhiliwa na Vodacom Foundation kwa kushirikiana na Kampuni ya Samsung.Zaidi ya wanafunzi elfu...

 

10 years ago

Michuzi

SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION

Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Kinyerezi Tabata jijini Dar es Salaam, Judith Chalamila akiwaonesha moja ya kompyuta mpakao kati ya(24)wanafunzi wa kidato cha Nne baada ya kukabidhiwa msaada wa kompyuta hizo zilizotolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation. Mradi huo unaoendeshwa na Learning In Sync ni kwa ajili ya wanafunzi wa shule za sekondari kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo mashuleni. Wanafunzi wa kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari ya Kinyerezi Tabata...

 

10 years ago

GPL

SHULE YA SEKONDARI MTAKUJA YA KUNDUCHI BEACH, DAR, YAPOKEA MSAADA WA KOMPYUTA TOKA VODACOM FOUNDATION

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi beach jijini Dar es Salaam, wakishusha vifaa vya kompyuta mpakato kwa kushirikiana na maofisa wa Vodacom Tanzania, Jumla ya kompyuta(25) pamoja na  vifaa vingine vimetole msaada na Vodacom Foundation kwa kushirikiana na Samsung na vitafungwa hivi karibuni kwa ajili ya kufundishia somo la kompyuta shuleni hapo. Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus...

 

5 years ago

Michuzi

Shule za sekondari Njombe zapigwa jeki kompyuta,printa kuboresha elimu

Na Amiri kilagalila,Njombe

Mbunge wa viti maalum mkoani Njombe kupitia chama cha mapinduzi Mhe, Neema Mgaya amekabidhi Kompyuta kumi zenye thamani ya milioni 17,370,000/=.kwa baadhi ya shule za sekondari mkoani Njombe ili kuboresha na kuinua taaluma katika mkoa huo.

Aidha mbunge huyo ametoa Printer mbili zenye thamani ya Tsh milioni 1,905,062, kebo nane kwaajili ya Umeme zilizogharimu kiasi cha Tsh, lakimbili na kufanya jumla ya vifaa vyote alivyovitoa katika ziara hiyo kufikia kiasi cha Tsh...

 

11 years ago

GPL

ACCESS BANK WATOA MSAADA WA KOMPYUTA KWA SHULE YA SEKONDARI AZANIA‏

Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta Mkuu wa Shule ya Sekondari Azania, Mwl. Benald Ngonzie (kushoto), wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni wanafunzi wa shule hiyo. Benki hiyo jana ilitoa msaada wa kompyuta 10 kwa shule hiyo zenye thamani ya zaidi ya Sh2 milioni.
Ofisa Masoko Mwandamizi Access… ...

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA MTAKUJA YA JIJINI WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA KOMPYUTA MASHULENI‏

Mwalimu wa masomo ya Sayansi wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi Mbezi beach jijini Dar es Salaam, Elibariki John akiwaelekeza wanafunzi wa kidato cha pili, Jacqueline James(kushoto) na Ibrahim Juma wa shule hiyo jinsi ya kutafuta taarifa za maarifa ya masomo ya sayansi kwa njia ya kompyuta mpakato zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation miezi mitatu iliyopita kupitia mradi wake wa kompyuta mashuleni unaoendeshwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani