Wabunge wanawake walikosa mkakati
Juzi, tulishuhudia kwa mara ya kwanza wabunge wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiungana kukwamisha Bajeti ya Wizara ya Afya kutokana na hatua ya Serikali kupunguza bajeti ya wizara hiyo kutoka Sh753.8 bilioni mwaka 2013/14 hadi Sh622.9 bilioni mwaka wa fedha ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Wanawake waweka mkakati Bunge la Katiba
WANAWAKE waliobahatika kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge la Katiba, wametakiwa kuweka tofauti zao kando wakiwa kwenye vikao vya Bunge hilo na kuhakikisha maslahi yao na watoto yanapewa kipaumbele. Wito huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IQjeh0DLSfM/XmK3bQPSRUI/AAAAAAALhpY/B7nmTJHtyVcv7lOE6efvLwIxQxqtQ4ZYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpm6f8e4044a8117r2_800C450.jpg)
Rais wa zamani wa Liberia, Ellen Sirleaf na mkakati wa kuwasaidia wanawake viongozi barani Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-IQjeh0DLSfM/XmK3bQPSRUI/AAAAAAALhpY/B7nmTJHtyVcv7lOE6efvLwIxQxqtQ4ZYwCLcBGAsYHQ/s640/4bpm6f8e4044a8117r2_800C450.jpg)
Bi Sirleaf ambaye ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2006 alikuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais wa nchi barani Afrika mwaka 2006. Aliondoka madarakani mwaka 2018 katika nchi ya Liberia iliyowahi kuathiriwa na vita kupitia mchakato wa kwanza wa amani wa kukabidhi madaraka nchini humo...
10 years ago
Habarileo07 Apr
Wabunge wanawake wapewa changamoto
WABUNGE wanawake wametakiwa kujenga uwezo wa kujenga hoja na kuhakikisha suala la mgawanyiko wa rasilimali kwenye bajeti ya Serikali unafanywa kwa mtazamo wa kijinsia ili kusaidia kuondoa umasikini.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Dk Kashilillah awasihi wabunge wanawake
10 years ago
Habarileo07 Jan
Wabunge 19 wanawake wa Tanzania wazuru China
WABUNGE wanawake 19 wa Bunge la Tanzania wako China katika ziara ya siku 11 yenye lengo la kubadilishana na kujifunza kwa wenzao masuala ya uongozi na wanavyojihusisha kwenye shughuli za kijamii.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Spika- Wabunge wanawake epukeni Ukimwi
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewafunda wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba dhidi ya vitendo vinavyoweza kuwavunjia heshima na kuwaambia Ukimwi upo na umekithiri. Makinda, ambaye hiki ni kipindi chake cha nane akiwa bungeni, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye semina ya wajumbe wanawake wa Bunge hilo.
10 years ago
Habarileo03 Dec
TPSF yachangia mil.20/- wabunge wanawake
TAASISI ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) jana ilichangia Sh milioni 19.5 kuwasaidia wabunge wanawake wa majimbo kisiasa na kiuchumi.