Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saccos ya vijana yakopeshwa Sh10 mil

Chama cha Akiba na Mikopo cha Manispaa ya Musoma (Vijana Musoma Saccos), imepokea mkopo wa Sh10 milioni kutoka kwa mkurugenzi wa manispaa ikiwa ni mkopo wa awamu ya pili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wawili wazoa Sh10 mil Airtel

 Mkazi wa Songea mkoani Ruvuma, Rehema Mohamed Nasibu na Willhard Mlenga Malimbo wa jijini Dar es Salaam wametwaa kitita cha Sh5 milioni kila mmoja katika promosheni ya Mimi Bingwa inayoendeshwa na Kampuni ya Simu ya Airtel, inayoendelea.

 

10 years ago

Mwananchi

Miss Tanzania ‘airudishia’ TBL Sh10 mil

 Aliyekuwa mrembo wa Tanzania (Miss Tanzania), Sitti Mtemvu amejivua taji na kuacha nyuma kitita cha Sh10 milioni alizokuwa apewe na wadhamini wa mashindano hayo, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

 

11 years ago

Mwananchi

Taasisi yasaidia Saccos Sh500 mil

Mradi wa kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo, umetoa mikopo ya Sh590 milioni kwa vyama saba vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwakopesha wanachama wake.

 

10 years ago

Habarileo

TRL yakopeshwa shilingi bilioni 12

KAMPUNI ya Reli ya Kati (TRL) imepata mkopo wa Sh bilioni 12 kutoka Benki ya Maendeleo (TIB) kwa ajili ya kuongeza mtaji wa uendeshaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake, vijana Muleba watengewa mil. 69/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagara, imetenga zaidi ya sh milioni  69 kwa kipindi cha mwaka 2010/2014 kwa ajili ya mikopo kwa vyama vya akiba na mikopo (Saccos) vya...

 

11 years ago

Habarileo

Vijana Muleba wakabidhiwa trekta la mil. 43/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muleba imenunua trekta lenye thamani ya Sh mil.43 na kulikabidhi kwa vijana wa wilaya hiyo. Trekta hilo litatumika kuanzisha mashamba ya kilimo cha mazao mbalimbali ili kujiajiri na kuacha utegemezi.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyumba yaungua, Sh10 milioni zateketea

Nyumba iliyopo Mtaa wa Chama cha Biblia, Kitunda Relini, Wilaya ya Ilala, imeteketea kwa moto sambamba na kuunguza fedha taslimu Sh10 milioni zililokuwamo ndani.

 

10 years ago

Mwananchi

Faini ya Sh10,000 ya ngono ni dhihaka

Ni usiku na giza limetanda. Nakatiza mitaa ya Buguruni Madenge na Malapa jijini Dar es Salaam, nashuhudia wanawake wamejilaza kwenye vibaraza, mbele ya nyumba zao wakitumia mwanga wa vibatari.

 

10 years ago

Mwananchi

Sh10 milioni kununulia mboga ni kebehi

Vyombo vya habari jana viliandika kuhusu mahojiano baina ya Sekretarieti ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma na viongozi wawili wa umma, Andrew Chenge na Profesa Anna Tibaijuka ambao wametuhumiwa kukiuka maadili katika sakata la uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani