Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawili wazoa Sh10 mil Airtel

 Mkazi wa Songea mkoani Ruvuma, Rehema Mohamed Nasibu na Willhard Mlenga Malimbo wa jijini Dar es Salaam wametwaa kitita cha Sh5 milioni kila mmoja katika promosheni ya Mimi Bingwa inayoendeshwa na Kampuni ya Simu ya Airtel, inayoendelea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Saccos ya vijana yakopeshwa Sh10 mil

Chama cha Akiba na Mikopo cha Manispaa ya Musoma (Vijana Musoma Saccos), imepokea mkopo wa Sh10 milioni kutoka kwa mkurugenzi wa manispaa ikiwa ni mkopo wa awamu ya pili.

 

10 years ago

Mwananchi

Miss Tanzania ‘airudishia’ TBL Sh10 mil

 Aliyekuwa mrembo wa Tanzania (Miss Tanzania), Sitti Mtemvu amejivua taji na kuacha nyuma kitita cha Sh10 milioni alizokuwa apewe na wadhamini wa mashindano hayo, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

 

11 years ago

Mwananchi

Airtel yazawadia washindi Sh130 mil

>Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, imezawadia wateja wake zaidi ya Sh130 milioni na tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, nchini Uingereza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Airtel yagawa vitabu vya mil.15/- Makete

MRADI wa Shule Yetu unaotekelezwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, umetoa msaada vitabu vya kiada na ziada vya masomo ya sayansi vyenye thamani ya zaidi ya sh...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yakabadhi wakaazi wawili wa Mkoa wa Manyara magari aina ya Toyota IST

Wakaazi wa wawili wa wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kwa pamoja wamezawadiwa magari yao aina ya Toyota IST mara baada ya kuibuka washindi katika droo za promosheni ya Airtel yatosha Zaidi inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel  Mpaka sasa jumla ya washindi 37 wameshapatikana kutoka katika mikoa mbalimbali ikiwa bado promosheni inaendelea na magari mengi bado yanasubiri washindi ili wakabithiwe akiongea wakati wa halfa ya kukabidhi magari kwa wateja wa Airtel Mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh mil 15 kwa chuo kikuu cha Dar es saalam

 Meneja Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (kushoto) akikabidhi jezi kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus Mgaya, wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali inayotarajiwa kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa pili kushoto) na Mratibu wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Wazoa maji ya kinyesi kwa mikono

Jonas Mushi na Tunu Nassoro(TEC), Dar es Salaam
SIKU chache baada ya kutokea mafuriko makubwa katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani, wakazi wa eneo hilo wako hatarini kukumbwa na mlipuko wa magonjwa baada ya nyumba zao kujaa uchafu uliombatana na kinyesi.
Hali hiyo, imesababisha wananchi hao kulazimika kuzoa uchafu huo kwa kutumia mikono bila kuwa na vifaa maalumu, jambo ambalo linahatarisha afya zao.
MTANZANIA ilifika eneo hilo na kushuhudia watu wakichota maji machafu ambayo walidai...

 

11 years ago

Mwananchi

Mashariki wazoa tuzo za riadha Kibaha

Mchakato wa kuwasilisha bungeni Sheria za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na ile ya Usimamizi wa Kodi umepamba moto baada ya Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah kuwaalika wadau kutoa maoni yao.

 

11 years ago

GPL

DEREVA DALADALA NA FUNDI MAKENIKA WAZOA MAMILIONI YA TIGO PESA‏

Mshindi wa shilingi milioni 2 wa promosheni ya 'Shinda Kitita na Tigo Pesa' Lazaro Loti Tulunyu ambaye pia ni fundi makenika wa Old Tabata dampo akifurahia kitita chake cha fedha alizokabidhiwa rasmi mapema leo na Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa Mary Rutta (kushoto). Zawadi zinazoshindaniwa kwenye promosheni hii ni za shilingi 200,000/- kwa wateja 50 kila siku, pia milioni 2 kwa wateja 20 kila wiki.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani