Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel yazawadia washindi Sh130 mil

>Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, imezawadia wateja wake zaidi ya Sh130 milioni na tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, nchini Uingereza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NBC yazawadia washindi wa ‘weka upewe’

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imefanya droo yake ya pili ya promosheni ya ‘weka upewe’ huku wakigawa zawadi kwa washindi wa kwanza wa droo hiyo. Droo hiyo iliyofanyika katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo yazawadia watumiaji wake Sh400 mil

 Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo, imekabidhi zawadi ya fedha Sh400 milioni katika kipindi cha mwezi mmoja cha Promosheni ya Cheza kwa Furaha Unaposhinda Kitita na Tigo pesa.

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YAZAWADIA WATEJA WAKE MARA TANO ZAIDI MUDA WA MAONGEZI



Mkurugenzi  wa kitengo cha Mawasiliano wa Airtel TanzaniaBeatrice Singano, akiongea  na waandishi wa habari wakati wa uzinduziwa ofa ya "Kamata Tano Zaidi" inayowawezesha wateja wa Airtel kupatamara tano ya muda wa maongezi.


-Wateja kupata Bonus ya mara tano zaidi kwa kununua muda wa maongezi au kifurushi cha yatosha kupitia Airtel Money-Wateja wote  wa malipo ya awali kufaidika
Dar es Salaam, Jumatatu Agosti 17, 2015, Kampuni ya simu za mikononiya Airtel leo imezindua ofa kabambe kwa wateja...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YAZAWADIA WATEJA WAKE MARA TANO ZAIDI MUDA WA MAONGEZI‏

Mkurugenzi wa kitengo cha Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ofa ya "Kamata Tano Zaidi" inayowawezesha wateja wa Airtel kupata mara tano ya muda wa maongezi. * Wateja kupata Bonus ya mara tano zaidi kwa kununua muda wa maongezi au kifurushi cha yatosha kupitia Airtel Money* Wateja wote wa malipo ya awali kufaidika Dar es Salaam, Jumatatu Agosti 17, 2015, Kampuni...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi

Mkaazi wa Kyela mkoani Mbeya Bwana Edom Dickson Mwansasu amekabithiwa gari aina ya Toyota IST na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel mara baada ya kuibuka mshindi kupitia droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi iliyofanyika siku ya ijumaa iliyopita Bwana Edom Mwansasu mwenye umri wa miaka 40 anajishughulisha na shughuli za kilimo huko Ngonga Kyela Mkoani Mbeya ameibuka mshindi baada ya kununua na kujiunga na vifurushi vya siku vya huduma ya Airtel yatosha kila...

 

11 years ago

Habarileo

Washindi St Anne wazawadiwa mil.13.2/-

MSHINDI wa kwanza kitaifa wa somo la Hisabati katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka jana , Sunday Mrutu, kutoka Shule ya St Anne Marie, Dar es Salaam na wanafunzi wenzake 33 waliopata daraja la kwanza, wamepongezwa na shule kwa kupewa fedha taslimu.

 

10 years ago

GPL

WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI

Mkurugenzi wa masoko wa Airtel bw. Levi Nyakundi (kushoto) akimkabidhi mmoja kati ya washindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu Omary jana katika makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel Tanzania. Anayeshuhudia (katikati) Mkurugenzi wa wa kitengo cha Mawasiliano bi Beatrice Singano Mallaya . Airtel imekabidhi magari matatu katika hafla hiyo. Mshindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu...

 

9 years ago

Michuzi

WASHINDI AIRTEL RISING STARS DAR WATUNUKIA

 Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodhawa timu ya Harmburg Queens Jamila Kassim baada ya kuwa mabingwa katikamichuano ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Starsmkoa wa kisoka wa Ilala. Hafla ya kukabidhi kombe ilifanyika janakatika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume Jijini Dar-es-Salaam.  Mtendaji mkuu bodi ya ligi Boniface Wambura akimkabidhi Kombe nahodha wa timu ya Evergreen Linda Shilla baada ya kuwa mabingwa katika michuano ya vijana chini ya...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel

 Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (wa pili kushoto) akiongelea umuhimu wa promosheni ya Mimi ni Bingwa muda mfupi baada ya kukabidhi shilingi milioni moja kwa baadhi ya washindi wa promosheni hiyo (waliopo pichani). Kushoto ni Bw. Ramdhani Wefa, Kulia ni Philemon Nathaniel Mgaya akifuatiwa na Bw. Msemwa Makuzi ambaye pia ni mshindi wa tiketi na wote wakiwa wanatokea Dar es salaam. Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia) akikabidhi kitita cha shilingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani