Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washindi St Anne wazawadiwa mil.13.2/-

MSHINDI wa kwanza kitaifa wa somo la Hisabati katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka jana , Sunday Mrutu, kutoka Shule ya St Anne Marie, Dar es Salaam na wanafunzi wenzake 33 waliopata daraja la kwanza, wamepongezwa na shule kwa kupewa fedha taslimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Washindi wa Keki Bora wazawadiwa

MAKUNDI yaliyoshinda katika shindano la kutengeneza keki bora yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, yametangazwa huku vigezo vikiwa ni ubora katika utengenezaji, ubunifu na radha. Kupitia maonesho hayo...

 

9 years ago

Michuzi

Washindi wa Shindano la 'Genius-Cup' Wazawadiwa

Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa  mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu  wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.

 

11 years ago

Michuzi

Washindi Promosheni Shinda Ki-Brazil na Mwanaspoti wazawadiwa

Washindi wa bahatinasibu ya Shinda Ki-Brazili na Mwanaspoti,Issa Rashid (wapili kushoto) na Michael Msumba (wapili kulia) wakipokea zawazi zao kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Mult Choice ( Dstv ) Barbara Kambogi (kulia) na Afisa Masoko wa Kampuni ya Mwananchi,Edward Uisso. Afisa Masoko wa Kampuni ya Mwananchi,Edward Uisso (wapili kushoto) akiongea na Mshindi wa promosheni ya Shinda Ki-Brazili na Mwanaspoti,wakati wa kuchezesha droo ya wiki ya pili, kulia ni Afisa Uhusiano wa Mult Choice...

 

10 years ago

CloudsFM

Washindi Ivory Coast wazawadiwa nyumba na mamilioni kila mmoja.

RAIS wa Ivory Coast Alassane Ouattara ametoa zaidi ya €3 milioni ($3.4m) kama bonasi kuwatuza washindi wa Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2015, Wizara ya Michezo nchini humo ilisema Jumanne. Taifa hilo la Afrika Magharibi lililaza Ghana 9-8 kupitia mikwaju ya penalty baada ya kutoka sare tasa muda wa kawaida na wa ziada Equatorial Guinea na kuinua taji lao la pili, la mwisho likiwa 1992.
Kocha Herve Renard alialikwa ikulu ya rais Jumanne huku Mfaransa huyo akipokezwa bonasi ya takriban €114...

 

9 years ago

GPL

WASHINDI WA SHINDANO LA 'GENIUS-CUP' WAZAWADIWA‏

Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa  mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu  wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.…

 

11 years ago

Habarileo

Vurugu Shule ya St Anne zasababisha hasara mil 140/-

Jasson RweikizaVURUGU zilizofanywa juzi katika Shule ya Msingi na Sekondari ya St Anne Marie Academy, jijini Dar es Salaam, zimesababisha hasara ya Sh milioni 140 kutokana na mali zilizoharibiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Airtel yazawadia washindi Sh130 mil

>Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, imezawadia wateja wake zaidi ya Sh130 milioni na tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, nchini Uingereza.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATANGAZA WASHINDI WA MAKISATU, WASHINDI WA KWANZA KUJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI TANO


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) kwa Mwaka 2020 ambayo kilele chake kilifanyika Machi 16-18 mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na mshindi wa kwanza kujinyakulia kitita cha Sh Milioni Tano.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati wa kutangaza washindi hao kutoka kada mbalimbali pamoja na zawadi watakazopata, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako...

 

9 years ago

Habarileo

Mabingwa ARS Dar wazawadiwa

MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) kwa mikoa ya kisoka ya Ilala, Kinondoni na Temeke, imefungwa rasmi jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambako mabingwa walikabidhiwa zawadi zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani