Washindi St Anne wazawadiwa mil.13.2/-
MSHINDI wa kwanza kitaifa wa somo la Hisabati katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka jana , Sunday Mrutu, kutoka Shule ya St Anne Marie, Dar es Salaam na wanafunzi wenzake 33 waliopata daraja la kwanza, wamepongezwa na shule kwa kupewa fedha taslimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Washindi wa Keki Bora wazawadiwa
MAKUNDI yaliyoshinda katika shindano la kutengeneza keki bora yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, yametangazwa huku vigezo vikiwa ni ubora katika utengenezaji, ubunifu na radha. Kupitia maonesho hayo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-y9AXM5EX7Oc/ViN88Kf585I/AAAAAAAAE5U/bUUxwXBsVWk/s72-c/IMG_0271.jpg)
Washindi wa Shindano la 'Genius-Cup' Wazawadiwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-y9AXM5EX7Oc/ViN88Kf585I/AAAAAAAAE5U/bUUxwXBsVWk/s640/IMG_0271.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Fqkt99pphmk/U6GXfRmIUgI/AAAAAAAFrg4/07Ga_CZvFJk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Washindi Promosheni Shinda Ki-Brazil na Mwanaspoti wazawadiwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fqkt99pphmk/U6GXfRmIUgI/AAAAAAAFrg4/07Ga_CZvFJk/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fZI9omc0DSE/U6GXfoASiFI/AAAAAAAFrg8/0DDZfONP8pQ/s1600/unnamed+(19).jpg)
10 years ago
CloudsFM12 Feb
Washindi Ivory Coast wazawadiwa nyumba na mamilioni kila mmoja.
Kocha Herve Renard alialikwa ikulu ya rais Jumanne huku Mfaransa huyo akipokezwa bonasi ya takriban €114...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/IMG_02712.jpg)
WASHINDI WA SHINDANO LA 'GENIUS-CUP' WAZAWADIWA
11 years ago
Habarileo05 Feb
Vurugu Shule ya St Anne zasababisha hasara mil 140/-
VURUGU zilizofanywa juzi katika Shule ya Msingi na Sekondari ya St Anne Marie Academy, jijini Dar es Salaam, zimesababisha hasara ya Sh milioni 140 kutokana na mali zilizoharibiwa.
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Airtel yazawadia washindi Sh130 mil
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jfhY-uMyUa4/Xuw2fWWelTI/AAAAAAALug8/HUQzAHpHp5EdN_OqNkSE8C8FWpjnK3h3QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.11.44%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATANGAZA WASHINDI WA MAKISATU, WASHINDI WA KWANZA KUJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI TANO
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) kwa Mwaka 2020 ambayo kilele chake kilifanyika Machi 16-18 mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na mshindi wa kwanza kujinyakulia kitita cha Sh Milioni Tano.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati wa kutangaza washindi hao kutoka kada mbalimbali pamoja na zawadi watakazopata, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Mabingwa ARS Dar wazawadiwa
MICHUANO ya soka ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) kwa mikoa ya kisoka ya Ilala, Kinondoni na Temeke, imefungwa rasmi jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam ambako mabingwa walikabidhiwa zawadi zao.