Washindi wa Shindano la 'Genius-Cup' Wazawadiwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-y9AXM5EX7Oc/ViN88Kf585I/AAAAAAAAE5U/bUUxwXBsVWk/s72-c/IMG_0271.jpg)
Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania