IPTL yaishtaki MCL, yadai Sh8.8 trilioni
>Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imeyashtaki magazeti ya Mwananchi na The Citizen kwa madai ya kuchapisha habari zilizolenga kuichafua kampuni hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Kesi ya MCL na IPTL yaanza kutajwa
10 years ago
Vijimambo30 Apr
Bajeti ya mwaka 2015/16 ni ya kula. Ni Shilingi trilioni 22.5, Za maendeleo trilioni 5 tu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-30April2015(1).jpg)
Serikali imetangaza sura ya bajeti ya mwaka 2015/16, ikiwa imejielekeza zaidi katika matumizi ya kawaida ya safari, posho za viongozi na matumizi mengine kuliko miradi ya maendeleo inayogusa maisha ya Watanzani moja kwa moja.
Bajeti ya mwaka ujao inatarajiwa kuwa Sh. Trilioni 22.480, kwa matumizi ya kawaida na maendeleo.
Makadirio hayo ni ongezeko la asilimia 13.2 ya bajeti ya mwaka 2014/15 ambayo ilikuwa ni Sh. Trilioni 19.853.
Waziri wa Fedha, Saada Salum...
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
India yaishtaki kampuni ya Nestle
9 years ago
Bongo523 Oct
UEFA yaishtaki klabu ya Dynamo Kiev
10 years ago
Mtanzania11 May
SAKATA LA MSUVA KUTIMKIA SAUZI ;Yanga yaishtaki Bidvest
ABDUCADO EMMANUEL, DAR NA MICHAEL MAURUS, MTWARA
SAKATA la winga wa timu ya Yanga, Simon Msuva kwenda kufanya majaribio Afrika Kusini kwenye timu ya Bidvest Wits bila ruhusa ya uongozi wake, limechukua sura mpya baada ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Vodacom kuishtaki timu hiyo kwenye Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
Msuva aliyerejea nchini juzi baada ya kumaliza majaribio hayo na kudaiwa kufanya vizuri, alitorokea nchini humo Jumatatu iliyopita usiku bila kuafikiana na uongozi wa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mfanyabiashara aporwa Sh8 milioni
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Cocacola yatoa Sh8.1 ml Njombe
10 years ago
Vijimambo14 Feb
Bei ya umeme yashuka kwa Sh8
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2623480/highRes/945486/-/maxw/600/-/vw8a3a/-/umeme_clip.jpg)
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imeliagiza Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kupunguza bei za umeme kwa Sh8 kuanzia Machi Mosi mwaka huu.Akitoa agizo hilo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi alisema kutokana na...