Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TLS: Maoni ya wananchi yaheshimiwe

Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimelitaka Bunge Maalumu la Katiba kuheshimu maoni ya wananchi yaliyomo katika Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maoni ya wananchi yaheshimiwe-Wito

Imebaki kama wiki mbili hivi Bunge la Katiba lianze tena vikao vyake mjini Dodoma, huku kukiwa hakuna maridhiano kati ya pande mbili zinazotofautiana kuhusu Rasimu ya Pili ya Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo ya kura za maoni yaheshimiwe

Kura za maoni ambazo zimekuwa zikiendelea ndani ya vyama mbalimbali vya siasa nchini, vikiwamo CCM, CUF na Chadema ambayo matokeo yake yametolewa au kuanza kutolewa zimeanza kutoa mwelekeo kuwa kuna kila uwezekano kwamba mwaka huu tutakuwa na wabunge wapya wengi wakiwamo vijana.

 

11 years ago

Michuzi

BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS

Na woinde shizza,Arusha
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.

 

11 years ago

Mwananchi

Wako: Msipuuze maoni ya wananchi

>Mwanasheria Mkuu (AG) mstaafu wa Kenya, Amos Wako amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutokupuuza maoni ya wananchi katika kutunga Katiba ya nchi vinginevyo watazua mgogoro.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maoni ya wananchi kuhusu Muungano

JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wananchi toeni maoni ya miswada

WANANCHI wametakiwa kutumia fursa iliyopo iliyotolewa na Baraza la Wawakilishi ya kutoa maoni ya miswada inayotarajiwa kuwasilishwa mbele ya baraza ili ipate baraka za wananchi na ubora wake.

 

5 years ago

Michuzi

Haki ya kutoa Maoni, wananchi waelimishwe

Na Mwandishi Mwandishi Wetu.

UHURU wa kutoa maoni, kujieleza na kupata taarifa ni mojawapo wa Haki za Msingi za raia wa Tanzania kama ilivyosisitizwa na Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo upo mkanganyiko katika kutafsiri maana ya Uhuru huu  uliojikita zaidi katika kukidhi matakwa na maslahi fulani.
Kwa upande mmoja, wapo wanaotafsiri dhana ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza kama Haki ya raia yeyote kuwasilisha mawazo na fikra zake bila vikwazo. Wanaoamini...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani