Wako: Msipuuze maoni ya wananchi
>Mwanasheria Mkuu (AG) mstaafu wa Kenya, Amos Wako amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutokupuuza maoni ya wananchi katika kutunga Katiba ya nchi vinginevyo watazua mgogoro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Sep
RC: Wananchi msipuuze taarifa za hali ya hewa
WATENDAJI wa idara mbalimbali na wananchi wametakiwa kutopuuza taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), kupunguza madhara yanayotokea kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
10 years ago
Mwananchi11 Jan
MCHAKATO WA KATIBA: Watanzania wako njia panda kura ya maoni
11 years ago
Mwananchi20 Jul
TLS: Maoni ya wananchi yaheshimiwe
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Maoni ya wananchi kuhusu Muungano
JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...
10 years ago
Habarileo28 Dec
‘Wananchi toeni maoni ya miswada
WANANCHI wametakiwa kutumia fursa iliyopo iliyotolewa na Baraza la Wawakilishi ya kutoa maoni ya miswada inayotarajiwa kuwasilishwa mbele ya baraza ili ipate baraka za wananchi na ubora wake.
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Maoni ya wananchi yaheshimiwe-Wito
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m1SUJct1WPE/Xs02AlWp4TI/AAAAAAAAhp8/61FgMdLMrI0SnL39yRuFA6LmIu7W6eOhwCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
Haki ya kutoa Maoni, wananchi waelimishwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-m1SUJct1WPE/Xs02AlWp4TI/AAAAAAAAhp8/61FgMdLMrI0SnL39yRuFA6LmIu7W6eOhwCLcBGAsYHQ/s640/images.jpeg)
UHURU wa kutoa maoni, kujieleza na kupata taarifa ni mojawapo wa Haki za Msingi za raia wa Tanzania kama ilivyosisitizwa na Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo upo mkanganyiko katika kutafsiri maana ya Uhuru huu uliojikita zaidi katika kukidhi matakwa na maslahi fulani.
Kwa upande mmoja, wapo wanaotafsiri dhana ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza kama Haki ya raia yeyote kuwasilisha mawazo na fikra zake bila vikwazo. Wanaoamini...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Vyama vyashauriwa kujali maoni ya wananchi
WANANCHI wamevitaka vyama vya siasa kuacha mtindo wa kugeuza Katiba kama mali yao badala yake wakubali kusikiliza maoni ya wananchi. Wananchi hao pia wamelaani vikao vya mara kwa mara vinavyofanywa...