Sitta: Katiba inaruhusu kununua uongozi
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema kushamiri kwa vitendo vya watu wachache kujitajirisha na wengine kununua uongozi, kunatokana na Katiba ya sasa kutokuwa na meno ya kupambana na rushwa na ufisadi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI: POKEENI FEDHA ZA WANAOTAKA KUNUNUA UONGOZI NDANI YA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-OW_CiaiBlRo/XvbY_poXiGI/AAAAAAAC8hI/8zDz-a1frc86CiNkUPtcd-izx6d83mD0gCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kauli hiyo ameitoa Julai 26 mwaka huu wilayani Kahama mkoani Shinyanga katika siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo akiwa ni mlezi wa CCM mkoani...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Sitta avunja Kamati ya Uongozi
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ametengua uteuzi wake wa awali wa nafasi tano za Kamati ya Uongozi ili kuifanya kamati hiyo kuwa na uwakilishi mpana.
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Samuel Sitta atengua Kamati ya Uongozi
Hatimaye Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ametengua uteuzi wake wa wajumbe watano na Kamati ya Uongozi na kuteua wajumbe wapya wa kamati hiyo, akiwapo Mwenyekiti wa Kundi la Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe na Waziri wa Katiba na Sheria wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar kutoka CUF, Abubakar Hamis Bakari.
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Sitta: Vijana msiwape uongozi watu mafisadi
>Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta amesema vijana watafanya makosa endapo tu wataikabidhi nchi mikononi mwa wahuni ambao wanapenda kutumikia matumbo yao kwa nguvu ya pesa kitu kitakachowacheleweshea maendeleo yao.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fRF5RrKDUqg/U-orOXCCL5I/AAAAAAAF-9w/9rPyibLETuY/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fRF5RrKDUqg/U-orOXCCL5I/AAAAAAAF-9w/9rPyibLETuY/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
11 years ago
MichuziMH. SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM LEO
11 years ago
MichuziSITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI CHA BUNGE MAALUM LEO
10 years ago
TheCitizen27 Aug
MY TAKE ON THIS: Mr Sitta, the question is ‘What kind of katiba?’
>The Constituent Assembly (CA) chairman, Mr Samuel Sitta, has pleaded with Tanzanians to give the assembly time to finish its work because abandoning it would subject the country to immeasurable loss. According to Mr Sitta money spent by the defunct Constitution Review Commission (CRC) and the CA would mean nothing to the country if CA activities are shelved now as proposed by many people.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania