Sitta: Vijana msiwape uongozi watu mafisadi
>Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta amesema vijana watafanya makosa endapo tu wataikabidhi nchi mikononi mwa wahuni ambao wanapenda kutumikia matumbo yao kwa nguvu ya pesa kitu kitakachowacheleweshea maendeleo yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Sauti:Vijana tugutuke (Muamko wa vijana kushika uongozi — Pemba)
Salma Said:
The post Sauti:Vijana tugutuke (Muamko wa vijana kushika uongozi – Pemba) appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo04 Apr
Sitta avunja Kamati ya Uongozi
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ametengua uteuzi wake wa awali wa nafasi tano za Kamati ya Uongozi ili kuifanya kamati hiyo kuwa na uwakilishi mpana.
10 years ago
MichuziFILIKUNJOMBE; MAFISADI WAMETUMA WATU WANING'OE UBUNGE NAOMBA WANANCHI WANYIMENI KURA
Na Matukiodaima Blog Ludewa WAKATI wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM) kesho wanashiriki zoezi la kupiga kura za maoni kuwapata madiwani na wagombea watakao gombea kwa CCM ,mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewashukuru wanachama wa CCM katika jimbo hilo kwa kuonyeha imani kubwa kwake ukilinganisha na wagombea wenzake wawili na...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Sitta: Katiba inaruhusu kununua uongozi
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Samuel Sitta atengua Kamati ya Uongozi
11 years ago
MichuziSITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI
11 years ago
MichuziMH. SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM LEO
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Vijana watakiwa kuwania uongozi
NAIBU Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, Innocent Melleck, ametabiri kuwa mwaka ujao wa uchaguzi utakuwa ni wa vijana na...
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Sep
Vijana Kibaha watakiwa kugombea uongozi
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kibaha Mjini, kimewataka vijana kuthubutu kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ucaguzi ujao wa Chama na serikali.
Mwenyekiti wa UVCCM Kibaha Mjini, Idd Kanyalu, aliyasema hayo juzi, katika eneo la Mzizizma Zegereni, kata ya Visiga, alipokuwa akizungumza na wananchi, wakati wa ziara ya kamati ya maboresho inayolenga kukagua uhai wa jumuia hiyo.
Kanyalu aliwaasa vijana hao kujipanga kwenye mchakato wa uchaguzi...