FILIKUNJOMBE; MAFISADI WAMETUMA WATU WANING'OE UBUNGE NAOMBA WANANCHI WANYIMENI KURA
mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe kulia akiwa na mlemavu wa ngozi (ALBINO) mara baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni za ubunge
Na Matukiodaima Blog Ludewa WAKATI wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM) kesho wanashiriki zoezi la kupiga kura za maoni kuwapata madiwani na wagombea watakao gombea kwa CCM ,mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewashukuru wanachama wa CCM katika jimbo hilo kwa kuonyeha imani kubwa kwake ukilinganisha na wagombea wenzake wawili na...
Michuzi