Sauti:Vijana tugutuke (Muamko wa vijana kushika uongozi — Pemba)
Salma Said:
The post Sauti:Vijana tugutuke (Muamko wa vijana kushika uongozi – Pemba) appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Feb
Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lazidi kushika kasi
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu maarufu duniani ya mpira wa miguu ya Real Madrid ya Hispania, leo imeendelea na zoezi lake la usajili wa vijana walio na umri wa chini ya miaka 14 watakaofanyiwa majaribio kwa ajili ya kujiunga na kituo cha michezo cha NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY katika uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, huku idadi ya vijana wanaojisajili ikiongezeka.
Mchakato huo wa usajili ulianza Oktoba 14 lakini leo idadi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Sauti:Ajira kwa vijana
Repoti ya Salma Said:
The post Sauti:Ajira kwa vijana appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Sauti ya vijana kwa ‘wabwia unga’
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
YPC yazindua mpango wa Sauti ya Vijana
ASASI isiyo ya kiserikali ya Youth Partnership Countrywide (YPC), ya Kibaha mkoani Pwani, imezindua mpango wa Sauti ya Vijana kwenye Uwajibikaji (ViVA), utakaowajengea uwezo vijana katika suala la uwajibikaji kuanzia...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Vijana watakiwa kuwania uongozi
NAIBU Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, Innocent Melleck, ametabiri kuwa mwaka ujao wa uchaguzi utakuwa ni wa vijana na...
10 years ago
Uhuru Newspaper10 Sep
Vijana Kibaha watakiwa kugombea uongozi
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kibaha Mjini, kimewataka vijana kuthubutu kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ucaguzi ujao wa Chama na serikali.
Mwenyekiti wa UVCCM Kibaha Mjini, Idd Kanyalu, aliyasema hayo juzi, katika eneo la Mzizizma Zegereni, kata ya Visiga, alipokuwa akizungumza na wananchi, wakati wa ziara ya kamati ya maboresho inayolenga kukagua uhai wa jumuia hiyo.
Kanyalu aliwaasa vijana hao kujipanga kwenye mchakato wa uchaguzi...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Vijana wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi za uongozi
VIJANA wametakiwa kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14, mwaka huu. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana, na mmoja wa wagombea...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Sitta: Vijana msiwape uongozi watu mafisadi
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Vijana wanaotaka uongozi wanaukana ushirika wao na wazee?
KIASI cha kama wiki moja hivi iliyopita nilikuwa Bukoba. Nikaenda sehemu inaitwa Bukoba Club kutafuta mlo wa mchana. Wakati nikisubiri mlo wangu, alikuja mtoto mmoja mvulana aliyeniambia ana miaka kumi...