Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sauti:Vijana tugutuke (Muamko wa vijana kushika uongozi — Pemba)

Salma Said:

The post Sauti:Vijana tugutuke (Muamko wa vijana kushika uongozi – Pemba) appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lazidi kushika kasi

 Na Mwandishi Wetu 
  SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu maarufu duniani ya mpira wa miguu ya Real Madrid ya Hispania, leo imeendelea na zoezi lake la usajili wa vijana walio na umri wa chini ya miaka 14 watakaofanyiwa majaribio kwa ajili ya kujiunga na kituo cha michezo cha NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY katika uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, huku idadi ya vijana wanaojisajili ikiongezeka. 
 Mchakato huo wa usajili ulianza Oktoba 14 lakini leo idadi...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti:Ajira kwa vijana

Repoti ya Salma Said:

The post Sauti:Ajira kwa vijana appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Sauti ya vijana kwa ‘wabwia unga’

Utumiaji wa dawa za kulevya umekuwa tatizo kubwa linaloikumba dunia hasa wakati huu wa utandawazi, huku sehemu ya waathirika wakuu wa dawa hizo wakiwa vijana ambao ni nguvukazi ya taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

YPC yazindua mpango wa Sauti ya Vijana

ASASI isiyo ya kiserikali ya Youth Partnership Countrywide (YPC), ya Kibaha mkoani Pwani, imezindua mpango wa Sauti ya Vijana kwenye Uwajibikaji (ViVA), utakaowajengea uwezo vijana katika suala la uwajibikaji kuanzia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana watakiwa kuwania uongozi

NAIBU Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, Innocent Melleck, ametabiri kuwa mwaka ujao wa uchaguzi utakuwa ni wa vijana na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vijana Kibaha watakiwa kugombea uongozi

NA MWANDISHI WETU
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kibaha Mjini, kimewataka vijana kuthubutu kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ucaguzi ujao wa Chama na serikali.
Mwenyekiti wa UVCCM Kibaha Mjini, Idd Kanyalu, aliyasema hayo juzi,  katika eneo la Mzizizma  Zegereni, kata ya Visiga, alipokuwa akizungumza na wananchi, wakati wa ziara ya kamati ya maboresho inayolenga kukagua uhai wa jumuia hiyo.
Kanyalu aliwaasa vijana hao kujipanga kwenye mchakato wa uchaguzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi za uongozi

VIJANA wametakiwa kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14, mwaka huu. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana, na mmoja wa wagombea...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta: Vijana msiwape uongozi watu mafisadi

>Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta amesema vijana watafanya makosa endapo tu wataikabidhi nchi mikononi mwa wahuni ambao wanapenda kutumikia matumbo yao kwa nguvu ya pesa kitu kitakachowacheleweshea maendeleo yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wanaotaka uongozi wanaukana ushirika wao na wazee?

KIASI cha kama wiki moja hivi iliyopita nilikuwa Bukoba. Nikaenda sehemu inaitwa Bukoba Club kutafuta mlo wa mchana. Wakati nikisubiri mlo wangu, alikuja mtoto mmoja mvulana aliyeniambia ana miaka kumi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani