Nyalandu ataweza kukabiliana na ujangili?
HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alikimbilia katika jumuiya ya kimataifa kujisafisha kuhusiana na masuala ya ujangili yaliyokithiri nchini. Hiyo ni baada ya taarifa kwamba Tanzania haijachukua hatua za kutosha kupambana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Jan
NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII, MAREKANI NA UJERUMANI WAIPA TANZANIA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS LEO
![](https://2.bp.blogspot.com/-6dmZbxSn4jE/VMA0542XlFI/AAAAAAAAse4/EknWe-__BIA/s1600/1.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-kzBLIkv22Xg/VMA04mS_WdI/AAAAAAAAsew/Hfe5v9TrobU/s1600/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-ZrejrydhGgw/VMA07Io56RI/AAAAAAAAsfA/HWCNFzTYRl8/s1600/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Je Waziri wa Maliasili na Utalii ataweza kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta?
Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Siku chache zilizopita baada ya Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kutangazwa, Tanzania tunatarajia Dk John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatangaza rasmi baraza lake la Mawaziri. Kila sekta itakuwa imeshikiliwa na Mawaziri ambao Rais ameridhishwa nao katika kukidhi viwango vya kuendesha sekta hizo na katika kurudisha matumaini ya watanzania.
Kati ya Wizara muhimu zinazokuza uchumi wa nchi...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
TBL yatoa milioni 10 kukabiliana na ujangili
KAMPUNI ya Bia ya Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Ndovu imetoa shilingi milioni 10 kwa ajili ya kusaidia kampeni ya kuwalinda Tembo, wanyama ambao wanazidi kutoweka kutokana na kuuliwa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Nyalandu: Wafanyakazi pambaneni na ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka wafanyakazi wa wizara hiyo kuhakikisha wanatumia kila mwanya uliopo kisheria kufanikisha mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili. Alitoa kauli hiyo mjini Morogoro...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Nyalandu: Tutaanika wafadhili ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kuanzia sasa serikali itawataja hadharani wanaofadhili ujangili bila kujali nyadhifa zao. Kauli hiyo aliitoa mwishoni mwa wiki mkoani hapa, alipokuwa akizungumza na...
11 years ago
Michuzi12 Mar
JK APOKEA MSAADA WA MAGARI 11 YA KUKABILIANA NA UJANGILI LEO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/lqYBC0naj-ETlp2DB9Fv8OsnLL1lA-0S_7CHMic3RwSQIXVNpeB5WlZQmTaCUHTSspLVO2wjGz6ZBbCPvogXL4eDK_KBESQFyxQBMWhaCqw-OYLXH3UzKD_r0bM=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_0461.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/C6WcipDCfoqxlDyZYaLkZy02yDSfQ1osxNonQJ5AehsaE-ucwzxxTozOHSBp19pJ4DaAgTIKqhxc-BN_gP-P7u6B3C9GCaNm8uI_2-XTLik2PjdrU-mB=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/1-2.jpg)
11 years ago
Habarileo05 Apr
Nyalandu ataka motisha vita ya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amelitaka Baraza kuu la Wafanyakazi la Wizara, kuandaa utaratibu wa kutoa motisha kwa kila mfanyakazi kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Mkubwa Sasa (BRN), katika kupambana na vita dhidi ya ujangili na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya
WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Nyalandu- Naandamwa kwa sababu ya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametoa ufafanuzi juu ya tuhuma zilizotolewa hivi karibuni kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana mkoani Iringa na kudai kuwa anaandamwa kutokana na vita anayoiongoza dhidi ya ujangili.