Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu: Tutaanika wafadhili ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kuanzia sasa serikali itawataja hadharani wanaofadhili ujangili bila kujali nyadhifa zao. Kauli hiyo aliitoa mwishoni mwa wiki mkoani hapa, alipokuwa akizungumza na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Wafanyakazi pambaneni na ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka wafanyakazi wa wizara hiyo kuhakikisha wanatumia kila mwanya uliopo kisheria kufanikisha mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili. Alitoa kauli hiyo mjini Morogoro...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu ataweza kukabiliana na ujangili?

HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alikimbilia katika jumuiya ya kimataifa kujisafisha kuhusiana na masuala ya ujangili yaliyokithiri nchini. Hiyo ni baada ya taarifa kwamba Tanzania haijachukua hatua za kutosha kupambana...

 

11 years ago

Habarileo

Nyalandu ataka motisha vita ya ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amelitaka Baraza kuu la Wafanyakazi la Wizara, kuandaa utaratibu wa kutoa motisha kwa kila mfanyakazi kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Mkubwa Sasa (BRN), katika kupambana na vita dhidi ya ujangili na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu ajikana vita vya ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameikana kauli yake ya Februari 27 mwaka huu, kwamba Serikali ina zaidi ya majina 320 ya majangili na kwamba wangeyaweka hadharani muda wowote,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya

WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu- Naandamwa kwa sababu ya ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametoa ufafanuzi juu ya tuhuma zilizotolewa hivi karibuni kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana mkoani Iringa na kudai kuwa anaandamwa kutokana na vita anayoiongoza dhidi ya ujangili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Vita ya ujangili kikwazo wasio wazalendo

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazalo Nyalandu, amesema mali nyingi hapa nchini zinaangamia kutokana na watu wachache waliopewa dhamana ya kuzisimia kutanguliza mbele maslahi yao badala ya uzalendo. Nyalandu, alisema...

 

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu:Hali ya ujangili nchini bado ni mbaya

Lazaro-Nyalandu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.

Na Mwandishi wetu

WAKATI juhudi mbalimbali zikifanyika katika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema bado hali ni mbaya.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa wadau wa maendeleo katika kupambana na ujangili, Nyalandu alisema bado wanaendelea kubuni mbinu mbalimbali ili kukomesha vitendo hivyo.

Waziri huyo...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI LAZARO NYALANDU AONGOZA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA UJANGILI WA TEMBO.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (MB) akipokewa na Bi. Raabia Hawa, Mratibu wa matembezi ya kupiga vita ujangili wa tembo yaliyoanzia Hifadhi ya Taifa Arusha na yanatarajiwa kumalizikia Nairobi, Kenya tarehe 28 mwezi huu. Mwendo ulipokolea na makoto yalivuliwa ili kuwa na wepesi zaidi. Watembeaji wakipumzika kidogo kabla ya kuendelea na matembezi. Bi. Raabia Hawa akifuta machozi baada ya kuguswa na hotuba ya Waziri Nyalandu kuhusu askari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani