Nyalandu: Wafanyakazi pambaneni na ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka wafanyakazi wa wizara hiyo kuhakikisha wanatumia kila mwanya uliopo kisheria kufanikisha mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili. Alitoa kauli hiyo mjini Morogoro...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Nyalandu: Tutaanika wafadhili ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kuanzia sasa serikali itawataja hadharani wanaofadhili ujangili bila kujali nyadhifa zao. Kauli hiyo aliitoa mwishoni mwa wiki mkoani hapa, alipokuwa akizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Nyalandu ataweza kukabiliana na ujangili?
HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alikimbilia katika jumuiya ya kimataifa kujisafisha kuhusiana na masuala ya ujangili yaliyokithiri nchini. Hiyo ni baada ya taarifa kwamba Tanzania haijachukua hatua za kutosha kupambana...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Nyalandu ajikana vita vya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameikana kauli yake ya Februari 27 mwaka huu, kwamba Serikali ina zaidi ya majina 320 ya majangili na kwamba wangeyaweka hadharani muda wowote,...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya
WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...
11 years ago
Habarileo05 Apr
Nyalandu ataka motisha vita ya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amelitaka Baraza kuu la Wafanyakazi la Wizara, kuandaa utaratibu wa kutoa motisha kwa kila mfanyakazi kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Mkubwa Sasa (BRN), katika kupambana na vita dhidi ya ujangili na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.
10 years ago
Habarileo10 Oct
Nyalandu- Naandamwa kwa sababu ya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametoa ufafanuzi juu ya tuhuma zilizotolewa hivi karibuni kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana mkoani Iringa na kudai kuwa anaandamwa kutokana na vita anayoiongoza dhidi ya ujangili.
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Nyalandu:Hali ya ujangili nchini bado ni mbaya
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.
Na Mwandishi wetu
WAKATI juhudi mbalimbali zikifanyika katika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema bado hali ni mbaya.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa wadau wa maendeleo katika kupambana na ujangili, Nyalandu alisema bado wanaendelea kubuni mbinu mbalimbali ili kukomesha vitendo hivyo.
Waziri huyo...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Nyalandu: Vita ya ujangili kikwazo wasio wazalendo
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazalo Nyalandu, amesema mali nyingi hapa nchini zinaangamia kutokana na watu wachache waliopewa dhamana ya kuzisimia kutanguliza mbele maslahi yao badala ya uzalendo. Nyalandu, alisema...
11 years ago
MichuziWAZIRI LAZARO NYALANDU AONGOZA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA UJANGILI WA TEMBO.