Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanyarwanda walioshtakiwa ICTR `walowea’ Arusha

BAADHI ya watu ambao walifungwa baada ya kupatikana na hatia ya kushiriki kwenye mauaji ya halaiki ya Rwanda na sasa wamemaliza kifungo chao na wale ambao wameachiwa huru na mahakama ya kimataifa ya ICTR baada ya kubainika hawana makosa, hawataki kurejea kwao Rwanda.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Raia 11 walioshtakiwa ICTR walowea nchini

Mkuu wa Kitengo cha Utawala cha ICTR, Sarah Kilemi RAIA 11 waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) ya mjini Arusha, wamelowea na kuendelea kuishi nchini, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni hofu ya kushindwa kurudi kwao, kwa sababu za kiusalama.

 

10 years ago

Capital FM

Bensouda to Attend ICTR's 20th Anniversary in Arusha


Bensouda to Attend ICTR's 20th Anniversary in Arusha
Capital FM
International Criminal Court Prosecutor Fatou Bensouda will next week join other prosecutors in Arusha, Tanzania to attend the 20th anniversary of the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR). Bensouda will join the other prosecutors in a panel ...

 

11 years ago

Michuzi

President Kikwete Meets with UN-ICTR Registrar in Arusha

The Registrar of the United Nations International Criminal Tribunal for Rwanda Mr. Majola Bongani this week paid a courtesy call on the President of the United Republic of Tanzania H.E. Jakaya Mrisho Kikwete  at Mount Meru Hotel when the latter was in town to grace several meetings.  During the meeting Mr. Majola, among others, thanked the Tanzania Government for its unwavering support to the work of the ICTR particularly at this time when it was coming to the close after 20 years of...

 

11 years ago

Michuzi

UN-ICTR Yatoa Msaada wa Magari ya Kiusalama kwa Polisi Arusha

Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Mauaji ya Halaiki ya Rwanda (UN-ICTR) iliyo na makao yake makuu mjini Arusha leo imetoa msaada wa magari mawili ya kiusalama (Amoured Cars) kwa jeshi la polisi mkoani Arusha ili kuimarisha shughuli zake za kiusalama mkoani hapo. 
Magari hayo ni baadhi ya yale yaliyokuwa yakitumika kwa shughuli za usalama kubebea watuhumiwa au watu nyeti,na mahakama hiyo inatarajiwa kumaliza shughuli zake mwakani. 
Magari hayo ni yale yaliyoimarishwa kiusalama...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) leo imetoa msaada wa Kompyuta 22, Monitor 154 na Printers 66 kwa mashule, vyuo, vituo vya afya, mashirika yasiyo ya serikali na taasisi zakidini na kijamii pamoja na idara za serikali katika jitihada zake za kusaidia jumuiya ya Kitanzania ambayo imeweza kuilea mahakama hiyo nchini kwa miaka karibu 20 sasa. 
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha

 Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) imetoa msaada wa gari lililoimarishwa kiusalama - amored vehicle - linaloonekana nyuma kwa Idara ya Magereza nchini kwenye sherehe fupi iliyofanyika mjini Arusha. Akikabidhi gari hilo Mkugenzi wa Idara ya Utawala wa ICTR Dr. Saraha Kilemi alisema kuwa msaada huo ni shukrani za mahakama hiyo kwa Idara hiyo kwa ushirikiano iliyoutoa kwa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka zaidi ya 20 ya kazi za mahakama hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda ICTR Jijini Arusha

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye Maadhimisho ya miaka 20 ya Mahakama ya Mauaji ya  Kimbari ya Rwanda (ICTR), ulioanza leo Novemba 8, 2014 kwenye Ukumbi wa AICC  Jijini Arusha. (Picha na OMR). 3 5 Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia. 6 7 4

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib  Bilal, akitazama baadhi ya picha za kumbukumbu...

 

9 years ago

Michuzi

UN-ICTR Yamaliza Kazi yake Arusha, mpiganaji Danford Mpumilwa ashukuru kuhitimisha ngwe yake salama na kwa ufanisi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughullikia Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) hivi majuzi imefanya sherehe za kumaliza kazi zake baada ya miaka 21 toka ilipoanzishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Sherehe hizo zilikuwa ni pamoja na mkutano mkubwa uliowaleta watu mashuhuri kutoka pande zote duniani na viongozi wa UN kutoka New York, na uzinduzi wa Bustani ya Amani -Peace Park - mjini Arusha.Mahakama hiyo iliwakamata na kuwahukumu watu wazito wa Rwanda 83 wakiwemo Mawaziri...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume wanne walioshtakiwa kwa ubakaji na mauaji wanyongwa nchini India

Wanaume wanne raia wa India wameuawa kwa kunyogwa nchini humo baada ya kushtakiwa kwa ubakaji na mauaji ya kinyama kwenye basi huko Delhi mwaka wa 2012

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani