Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yasema M23 walitoka Rwanda

Tanzania imesema inayo uhakika kuwa waasi wa M23 walioondolewa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni raia Rwanda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23

Serikali ya DR Congo imeilaumu Rwanda kwa kuwalinda wapiganaji wa M23.

 

11 years ago

TheCitizen

M23 recruits in Rwanda as Kigali says report ‘flawed’

>The UN Security Council brushed aside Rwandan protests to release a report Thursday saying Democratic Republic of Congo rebels are recruiting fighters inside Rwanda.

 

11 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA BALOZI WA RWANDA NA NORWAY, AMWAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI RWANDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura alipowasilisha hati za utambulisho Ikulu jijini Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania

Tanzania imesema haina mgonjwa wa Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa wawili waliotiliwa shaka kuwa na ugonjwa huo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Ujumbe wa Tanzania wakutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi kujadili uchumi wa Tanzania

DSCI0119

Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali  Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka Tanzania ulikutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Phippe Dongier hawapo kwenye picha kwa madhumuni ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania. Kutoka kushoto ni Bw. John Cheyo ambaye ni Kamishna wa Bajeti, anayefuata ni Katibu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Tanzania yasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi

Serikali ya Tanzania imekana madai kwamba taifa hilo linajikokota katika vita dhidi ya virusi vya corona

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA TANZANIA KWANZA YAMTETEA MUHONGO, YASEMA NI MHANGA WA MAJUNGU

Mwenyekiti wa Kamati ya Tanzania Kwanza Nje ya Bunge Maalum la Katiba, Oscar Matefu,  akitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa swali na wanahabari. …Akifafanua jambo kwenye  hafla…

 

11 years ago

Michuzi

JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Ali li Iddi Siwa katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea  hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania Mhe. Eugene Segore Kayihura katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani