Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri waidhinisha kura ya muda wa rais Rwanda

Baraza la mawaziri Rwanda limeidhinisha kufanyika kwa kura ya mamuzi kuhusu marekebisho ya katiba yatakayomruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kukaa madarakani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Mawaziri wapya wapimwe kwa muda

KAMA kuna uteuzi ambao unasubiriwa kwa hamu kufanywa na Rais Dk.

Mwandishi Wetu

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini Rwanda imeongeza muda wa marufuku ya kutotoka nje?

Marufuku ya kutotoka nje ilikuwa imalizike mwishoni mwa juma hili, lakini mambo hayajawa kama ilivyopangwa

 

11 years ago

GPL

NAPE: KURUDISHWA KWA MAWAZIRI MIZIGO NI KUWAPA MUDA WAREKEBISHE MAPUNGUFU YAO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, Dar. Mara baada ya kuundwa kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Abdulrahman Kinana mwanzoni mwaka mwaka jana, Sekretarieti hiyo imejiwekea utaratibu wa kufanya ziara mikoani kukutana na wananchi kusikiliza kero zao, kukagua utekelezaji...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili

Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili

 

10 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA BALOZI WA RWANDA NA NORWAY, AMWAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI RWANDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura alipowasilisha hati za utambulisho Ikulu jijini Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiga kura Rwanda waamua

Raia wa Rwanda wamepiga kura ya maoni kufanyia marekebisho katiba itakayomruhusu Rais Paul Kagame kugombea Urais kwa awamu ya tatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rwanda kupiga kura ya maoni

Rwanda itapiga kura ya maoni juu ya mabadiliko ya katiba kumruhusu Rais Paul Kagame kuwania muhula wa tatu wa kuiongoza nchi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawaziri watano waanguka kura za maoni

Kishindo cha kura za maoni ndani ya CCM kimeendelea kuwakumba baadhi ya vigogo wa chama hicho baada ya jana mawaziri wengine watano kuanguka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani