Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yapokwa pointi 10

Na Hans Mloli
MATUMAINI ya Simba kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, inawezekana yamefikia tamati jana baada ya kupata kipigo cha mabao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu, ikiwa na maana kuwa Simba imepata pointi mbili kati ya 12 kwenye mechi zilizopita za ligi hiyo. Simba imepoteza pointi 10 kwa kuwa ilitoa sare dhidi ya Mtibwa Sugar, ikafungwa na Mgambo, ikatoka sare tena na Mbeya City kisha kufungwa na JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pointi tatu kuitoa roho Simba SC

Ni vita kwa Simba iliyo katika nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 16 inaposaka ushindi na pointi tatu leo dhidi ya Coastal Union ya Tanga ili ipande kwa mara ya kwanza na kuingia tatu bora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkwabi: Pointi tatu muhimu Simba

MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa klabu ya Simba, Swedi Nkwabi, amezindua rasmi kampeni zake huku kubwa ikiwa ni pointi tatu ndiyo sababu ya kuwania nafasi hiyo. Swedi, mgombea...

 

9 years ago

Mtanzania

Simba yatamba kubeba pointi sita Tanga

simba-sports-club12NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, tayari wametua mkoani Tanga kamili kuchukua pointi sita ambapo wamepania kuanza kuzisaka kwa African Sports ‘Wana Kimanumanu’, wanaokutana nao kesho, Uwanja wa Mkwakwani.

Simba itacheza michezo miwili ikiwa mkoani humo, ambapo baada ya kumalizana na Wana kimanumanu hao itakaa kuwasubiria Mgambo JKT, ambayo watakutana nayo Septemba 16, kwenye uwanja huo.

Timu hiyo imeondoka jana, huku ikimkosa mchezaji Abdi Banda, ambaye atakuwa nje...

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaenda Tanga kufuata pointi sita

KIKOSI cha Simba kinatarajia kuondoka leo kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayotarajiwa kuanza Jumamosi dhidi ya African Sports ya huko.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mfumo uliwanyima Simba kupata pointi tatu’

Mwanza Kocha msaidizi wa Stand United, Athumani Bilali ametoboa siri kuwa mfumo wa 4-3-2-1 walioutumia ndio uliofanya Simba washindwe kuondoka na pointi tatu kwenye mechi yao ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.

 

5 years ago

Bongo5

Simba yaendelea kubaki na pointi ilizopewa na kamati ya saa 72

Kamati ya katiba, Sheria na hadhi za wachezaji ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) limemaliza kikao chake na klabu ya Simba usiku wa kuamkia leo na kuazimia Simba inaendelea kubaki na pointi ilizopewa na Kagera Sugar.


Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuahirisha kikao.

Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Celestine, amesema kamati hiyo itakaa tena na pamoja na mashahidi wengine kuhojiwa. “Kuna watu wanatakiwa kuhojiwa, na kamati itakaa wiki...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Yanga yapata pointi tatu muhimu

BAADA ya mchezo wa ufunguzi kupata kichapo cha mabao 2-1, kutoka kwa Gor Mahia ya Kenya, Yanga jana imepata ushindi wake wa kwanza wa michuano ya Kagame baada ya kuifunga mabao 3-0, Telecom ya Djibout katika muendelezo wa michuano hiyo jijini Dar es Salaam.

Mabao ya Yanga yaliwekwa kimiani na mshambuliaji Malimi Busungu aliyefunga mabao mawili dakika ya 26 na 61, na Geofrey Mwashiuya dakika ya 72, ambaye aliingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Simon Msuva.

Katika mchezo huo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hemedy PHD Ana Pointi Hapa

Hemed Suleiman ‘Phd’ ametoa rai kwa masanii wengazke kutoa elimu juu ya upigaji kura katika Uchaguzi Mkuu wa badaye mwezi huu badala ya wenyewe kuwa mashabiki wa vyama.

Pamekuwa na wimbi kubwa la wasanii tukumika kisiasa katika kipindi  hiki cha kampeni kwa kinachodaiwa kuwa malipo makubwa  hasa kutoka CCM.

Lakini  badala ya kupanda kwenye majukwaa na kupigia kampeni upande mmoja katika uchaguzi huo, Phd ametaka watoe elimu ya upigaji kura.

Alisema asilimia kubwa ya wapiga kura mwaka huu...

 

11 years ago

GPL

Pointi tatu za heshima Bara leo

Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Sweetbert Lukonge na Richard Bukos,Tanga
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga, watashuka dimbani ugenini kuivaa Coastal Union katika mchezo mkali utakaopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, leo Jumatano. Mchezo huo ndiyo utakaovuta hisia kwa mashabiki wengi kati ya mechi nyingi zitakazopigwa leo, hasa ikikumbukwa kuwa katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, timu hizo zilitoka sare ya 1-1 kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani