TANZANIA DMV WATOKA SARE 2-2 NA ZAMBIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CbdxUoB3W8s/VdHqLzgDeJI/AAAAAAAD3f8/abK9gFePlTQ/s72-c/5e7058a54428aa5f960b1f0187cadd71.jpg)
Kocha mchezaji wa timu ya Tanzania DMV Dedi Luba akifuatilia mchezo kati ya Tanzania DMV walipocheza na Zambia siku ya Jumapili Aug 16, 2015 Silver Spring, Maryland na timu kufungana bao 2-2. Hii mechi ilikua ya marudiano katika mechi ya kwanza iliyochezewa Meadowbrook Park, Tanzania DMV waliishinda Zambia kwa bao 6-3. Katika mechi ya jana timu ya Zambia walikua wakiongoza kwa goli 1 mpaka mapumziko na waliongeza goli la 2 katika dakika ya 52 ya mchezo. Baada ya magoli hayo kuliizindua timu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIMBA, YANGA WATOKA SARE TAIFA, DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zv0e1bgizgKs311XYELG*h*KEL0AbMCKzB9AQOX4f0rFZypcw8dBGd4rbJgPu3t8cqTRaxmg4hx*p6rfEX*EUO0N0x6AoVPH/mrwanda.jpg?width=650)
YANGA VS AZAM NGOMA DROO, WATOKA SARE YA 2-2
11 years ago
MichuziMTIBWA SUGAR WATOKA SARE YA BILA KUFUNGANA NA YANGA
Na MATUKIO NA VIJANA...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iMzXMcHxuWs/U7uLnf3zC6I/AAAAAAAFw_Y/TP0FNkaGr8Q/s72-c/image.jpeg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k8pyViA-WM4/XlgqbFfrQ3I/AAAAAAALfu8/kpNpV5OtxgMdCVCj9Q7sAjNvZm4Uj-dpACLcBGAsYHQ/s72-c/EAC.jpg)
WABUNGE WA TANZANIA WATOKA NJE YA BUNGE LA EALA WAKIGOMEA MUSWADA WA BANDARI AMBAO HAUNA MASLAHI NA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-k8pyViA-WM4/XlgqbFfrQ3I/AAAAAAALfu8/kpNpV5OtxgMdCVCj9Q7sAjNvZm4Uj-dpACLcBGAsYHQ/s640/EAC.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Wabunge wa Tanzania kwenye bunge la Afrika mashariki wametoka nje ya bunge akigomea kuletwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za bandari ambao hauna maslahi na taifa letu.
Akiongea nje ya ukumbi wa bunge hilo Mariamu Ussi Yahaya alisema kuwa muswada huo unaotakiwa kuletwa utaounguza mapato ya bandari zetu hivyo hauna maslahi kwa taifa letu.
Alieleza kuwa nchi zenye bandari kwenye jumuiya hiyo ni Tanzania na Kenya hivyo kuletwa kwake ndani ya bunge kwa wakati huu sio...
11 years ago
Michuzi22 Jul
10 years ago
GPLNGWASUMA, TWANGA ZILIVYOMENYANA JANA NA KUTOKA ‘SARE=SARE’
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s72-c/Untitled.vpng.png)
MAONESHO YA BIDHAA ZA TANZANIA KATIKA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA, ZAMBIA (TANZANIA WEEK) 25 -31 JULAI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rqw3XFfZUqg/U6fnplc1s6I/AAAAAAAFsYo/-ZUK0Z__ehI/s1600/Untitled.vpng.png)
Ubalozi wa Tanzania nchini Zambia unachukua nafasi hii kuwakaribisha rasmi Watanzania kuja kushiriki katika maonesho haya. Tuna amini ni nafasi nzuri ya kujitanganza na kuonana uso kwa uso na wadau...