NGWASUMA, TWANGA ZILIVYOMENYANA JANA NA KUTOKA ‘SARE=SARE’
Twanga wakikamua jukwaani. Umati wa watu wakisebeneka Kalala Junior akiimba kwa hisia. Luiza Mbutu akiyarudi…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Nov
SARE SARE MAUA YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN
![](https://lh3.googleusercontent.com/-lteDbPB0k6Q/VFzyB8hv2rI/AAAAAAAALW0/iLFg56JFIIw/w426-h549/kimkanyevv.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Sare, sare maua!
10 years ago
Vijimambo19 Jan
Sare zatawala AFCON
![image](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/01/image6-722x400.jpg)
Cape Verde walifanikiwa kusawazisha bao na kuwazuia Tunisia kuondoka na pointi zote tatu kwenye mechi ya kundi B. Tunisia walifunga kupitia kwa Mohamed Ali Moncer, lakini likasawazishwa na Héldon Ramos.
Tunisia waliofuzu kwa mashindano haya kwa mara ya 12 mfululizo, walipata pigo kabla ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CMOUOM7iWy1k5hdB6us7V-1ZAT2Xx87hn1fcJGvNTus3tt5oD5usCeLpsfv6e16rjsGahDcUBv0IObM8uZvDXB/ARSENALYAPATASARE2.jpg?width=650)
ARSENAL YAPATA SARE
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Sare kumponza Diamond?
MSANII nyota wa muziki wa Bongo Flava nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ huenda akaingia matatani baada ya juzi kupanda jukwaani kutumbuiza katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 akiwa amevaa sare...
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Simba yalazimishwa sare
Beki wa Simba, Nassor Chollo, (no 2) akiruka kumdhibiti mshambuliaji wa Polisi Moro, Danny Mrwanda, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa jana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na sufianmafoto.com)
Na Mwandishi wetu
TIMU ya Simba, jana ilizidi kuchechemea katika Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya Polisi Morogoro katika mechi kali iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Hiyo ni sare ya pili kwa Simba chini ya kocha...