Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ataka zibuniwe mbinu za kuachana na Tanesco

Mahmoud Mohamed MussaSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetakiwa kubuni njia mbadala za kuzalisha umeme, kuepuka kutumia chanzo kimoja cha umeme unaozalishwa Tanzania Bara na Shirika la Umeme la (Tanesco).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

RC Dk. Kone ataka wanawake Singida wawezeshwe kiuchumi ili kuachana na vitendo vya ukeketaji

DSC04009

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la siku mbili la ukeketaji lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Katala Hotel Beach mjini Singida. Kongamano hilo lilihudhuriwa na wadau kutoka mikoa mitano hapa nchini ukiwemo wa Singida. Kongamano hilo lililoratibiwa na TAMWA na UNFPA, kwa kauli moja pamoja na mambo mengine, limeazimia kuongeza mapambano dhidi ya ukeketaji na kuitaka jamii katika mikoa yote nchini kuondokana na mila potofu na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simbakalia ataka Tanesco kuacha urasimu

MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali mstaafu Joseph Simbakalia, amelitaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhakikisha wananchi wanaokwenda kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme wanapatiwa huduma hiyo kwa wakati. Simbakalia alitoa...

 

5 years ago

Michuzi

RC.GAMBO ATAKA MBINU MBADALA YA KARANTINI KWA WAGENI KUTOKA NJE YA MKOA KUINUA SEKTA YA UTALII


Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa na Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha Richard Kwitega na kaim Mganga wa mkoa wa Arusha Dkt.Omary Shariff wakipokea vitakasa mikono lita 500 vilivyotolewa na Kampuni ya Bia ya TBL leo kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiongea Mara baada ya kupokea vitakasa mikono kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda Cha bia Joseph Mwaikasu Leo jijini Arusha picha na Ahmed...

 

10 years ago

GPL

JOHARI AJUTA KUACHANA NA MCDONALD!

Brighton Masalu
BLANDINA Chagula ‘Johari’ ambaye ni mwigizaji mkongwe Bongo, amejuta kuachana na aliyewahi kuwa mpenzi wake, Donald Mwakamele ‘McDonald’ kwa kusema kuwa angeendelea naye, angekuwa mwanamke mwenye heshima. Mwigizaji mkongwe Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, staa huyo alisema vurugu za kimapenzi anazokutana nazo kila mara,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Maguli: Nimefarijika kuachana na Simba

LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana watakiwa kuachana na vijiwe

VIJANA nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kukaa vijiweni bila ya kujishughulisha na kazi yoyote, badala yake watumie fursa zilizopo za ujasirimali ili kujiajiri wao wenyewe na kupambana vilivyo na...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE: SIWEZI KUACHANA NA NUH

Na Shani Ramadhani
KUFUATIA varangati lililotokea Tabora katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014,  baada mpenzi wa mwanamuziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’,  Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kukataliwa na mashabiki, Shilole ameamua kufunguka kuwa Nuh atabaki kuwa mpenzi wake katika hali yoyote. Mwanamuziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na paparazi wetu,...

 

9 years ago

Habarileo

Halmashauri zakumbushwa shule kuachana na michango

HALMASHAURI za jiji la Dar es Salaam zimetakiwa kutenga fungu ili kusaidia kupunguza michango mashuleni na kuendana na agizo lililotolewa na rais kuhusu elimu kutolewa bure kuanzia mwaka 2016.

 

10 years ago

GPL

YANGA YATANGAZA KUACHANA NA JUMA KASEJA

Juma Kaseja. YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu. “Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani