DC awashukia maofisa ushirika kuwa kikwazo
Mkuu wa Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara, Farida Mgomi amewashukia maofisa ushirika wilayani hapa kwamba ni chanzo cha kufanya halmashauri kushindwa kukusanya mapato ya ushuru wa mazao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Ubadhirifu kikwazo cha Ushirika kushamiri
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida na Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama wakipitia makabrasha ya mafunzo ya siku moja juu ya Uimarishaji wa Ushirika wa Akiba na Mikopo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika (SACCOS na VICOBA) na Maafisa Ushirika wa kutoka Wilaya za Bunda, Bukoba na Sengerema yaliyoandaliwa na ESRF na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo (UNDP)...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mrajis kikwazo kwa vyama vya ushirika
BAADHI ya wanaushirika nchini wanaichukulia nafasi ya Mrajis wa Vyama vya Ushirika kuwa ipo kuukwamisha ushirika. Pia wapo wanaodhani kwamba cheo hicho kilianzishwa baadaye kabisa, kama moja ya mikakati ya...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Maofisa ushirika watakiwa kuisimamia sheria mpya
KAIMU Katibu Tawala mkoani Mtwara, Johansen Bukwali, amewataka maofisa ushirika nchini kuijua vizuri na kuisimamia sheria mpya ya Vyama vya Ushirika namba 6 ya mwaka 2013, kwani vyama hivyo vina...
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Uturuki yadaiwa kuwa na ushirika na IS
9 years ago
StarTV16 Nov
Dhana kuwa ugonjwa utokomezaji saratani:hautibiki kikwazo
Dhana potofu iliyojengeka katika jamii kuwa Saratani ya Matiti haitibiki na mtu anapopata ugonjwa huo lazima afe vinatajwa kuwa changamoto kubwa kwenye vita dhidi ya utokomezaji wa saratani nchini.
Jamii kubwa ya Tanzania hususani vijijini inadaiwa kuwa haina uelewa wa kutosha juu ya saratani ya matiti na wengi wao huihusisha na imani za kishirikina.
Idadi kubwa ya Wanawake wamebainika kuwa huishi na ugonjwa wa Saratani ya Matiti kwa muda mrefu bila kujitambua.
Wengi wao hujitambua pindi...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
10 years ago
Mtanzania08 Oct
JK awashukia mabalozi
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna ushahidi unaothibitisha baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini,wamekuwa wakichaganya dini na siasa na hata kutumia udini kuunga mkono shughuli za baadhi ya vyama vya siasa.
Kutokana na hali hiyo, amewaomba mabalozi hao kuiokoa Tanzania katika majanga makubwa yanayoweza kuipata kwa kutumia dini kuendeleza siasa, hatua ambayo amesema ni ya hatari.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo juzi wakati...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
DC awashukia wafugaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto, Martha Umbula, amewashukia wafugaji wa jamii ya Kimasai kuwa ni wakorofi na ndiyo maana kunatokea majanga kati ya wakulima na wafugaji. Amesema jamii hiyo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10