Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yanasa mkanda wa Stars

Nahodha wa muda wa Nigeria, Ahmed Mussa amesema wameisoma Tanzania kupitia mkanda wa video waliounasa ambao utawasaidia katika mchezo wa kesho wa kufuzu kwa fainali za Afrika mwaka 2017.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

OFM YANASA YANASA DAWA ZIKIUZWA KIHOLELA

Ramadhani na Mayasa Mariwata NIhatari! Shirika la Afya la Dunia (WHO) limetoa ripoti na kubainisha kwamba dawa za kutibu maradhi ya kuharisha, vichomi, maambukizi ya kwenye njia ya mkojo (U.T.I), mafua na magonjwa kama ya zinaa mfano kaswende na kisonono sasa zimekuwa sugu.  ..Soma zaidi===>http://bit.ly/1J7E0L4

 

9 years ago

Habarileo

Stars yaichanganya Nigeria

IKIWA imesalia siku moja kabla ya mechi ya timu ya soka ya taifa, Taifa Stars dhidi ya Nigeria, kocha Sunday Oliseh ameonesha hofu akisema hawafahamu wapinzani wake.

 

9 years ago

Habarileo

Stars kufa na Nigeria

TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo itacheza na Nigeria kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam katika mechi ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika mwaka 2017.

 

11 years ago

BBC

Guide to Nigeria's Afrobeats stars

BBC DJ picks out top talent from musical hotspot Nigeria

 

11 years ago

BBC

Nigeria stars set to receive $1m

Africa's wealthiest businessman Aliko Dangote is set to fulfil his promise to reward Nigeria with $1m for winning the 2013 Nations Cup.

 

10 years ago

BBCSwahili

Stars ijipange dhidi ya Nigeria.

Kocha wa timu ya Tanzania,Mart Nooij amesema timu yake inahitaji kujituma zaidi ili iweze kufuzu kucheza AFCON 2017, Gabon.

 

9 years ago

Mtanzania

Kocha Nigeria afurahia sare na Stars

Pg 32*Akiri mambo yalikua magumu upande wao

*Mkwasa asema timu yake imekosa uzoefu tu

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’, Sunday Oliseh, amefurahia matokeo ya suluhu katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, akieleza wazi kuwa maji yalikua shingoni kwa upande wao.

Stars na Nigeria ambazo zimepangwa kundi G kwenye michuano hiyo, juzi zilitoshana nguvu na kuambulia pointi...

 

9 years ago

Habarileo

Masembe kuisimamia Taifa Stars, Nigeria

ALIYEWAHI kuwa mwamuzi bora kwenye fainali za soka za Afrika kwa vipindi vitatu, Charles Masembe ndiye atakuwa kamishna wa mchezo wa Taifa Stars na Nigeria utakaofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Stars yapata makali kuiua Nigeria J’mosi

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro chini ya Kocha wake Mkuu Charles Boniface Mkwasa imekamilisha kambi nchini Uturuki na inatarajia kurejea leo nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani