Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya na Tanzania zafuta machozi Cecafa

Kenya na Tanzania zilifuta machozi ya kubanduliwa kutoka mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa kuandikisha ushindi mechi zao za kwanza Cecafa nchini Ethiopia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Tanzania na Kenya nusu fainali

Kilimanjaro Stars watakabiliana uso kwa uso na Harambee Stars nusu fainali ya CECAFA

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!

cecafa__logo

Na Rabi Hume

Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.

Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.

Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;

 

10 years ago

GPL

HUSSEIN MACHOZI AFUNGA NDOA FEKI KENYA

Stori: Musa Mateja/Risasi Mchanganyiko
MIZINGUO! Mbongo Fleva aliyewahi kutamba na wimbo wa Jela, Hussein Machozi amefunguka kuwa tuhuma za kumtelekeza mke wake Shuena Yunus Omar, Mombasa Kenya hazimtesi kwa kuwa alioa kama geresha tu.
Machozi alifunguka hayo Januari 16, mwaka huu, alipobanwa na paparazi wetu azungumzie ukweli wa sakata la kudaiwa kumkimbia mkewe huyo lililotapakaa kama moto wa kifuu kwenye mitandao ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hussein Machozi afunguka sakata la kufumaniwa Kenya

MWANAMUZIKI aliyoibuliwa na wimbo wa ‘kwa ajili yako’ Hussein Machozi amefunguka na kuelezea tukio la kufumaniwa na mke wa mwanasiasa nchini Kenya na kudai kuwa jambo hilo halina ukweli wowote....

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya na Sudan kumenyana fainali cecafa

Timu za Kenya na Sudan zimefuzu kucheza fainali za CECAFA 2013 baada ya kushinda mechi zao za nusu fainali

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali Kenya yaifutia aibu Cecafa

Serikali ya Kenya imeifutia aibu mbaya Cecafa kwenye michuano ya Chalenji baada ya kuingilia kati na kuahidi kulipa bili zote za hoteli kwa timu shiriki na usafiri

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya mabingwa wapya wa Cecafa 2013

Timu ya Kenya, Harambee Stars imetawazwa mabingwa wapya wa kombe la CECAFA 2013/2014

 

9 years ago

TheCitizen

CECAFA: Zanzibar save face with Kenya hiding

Zanzibar Heroes had no respect for defending champions Kenya whom they crushed 3-1 in their final Group B Cecafa Senior Challenge Cup match at the 40,000-seater Hawassa International Stadium, Ethiopia yesterday.

 

9 years ago

BBC

Kenya stun in-form Uganda at Cecafa Cup

Kenya stun in-form Uganda with a 2-0 win in their first Group B match at the Cecafa Senior Challenge Cup in Addis Ababa, Ethiopia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani