Taarifa ya Yanga Kuhusu Wachezaji Wake
Uongozi wa klabu ya Young Africans unapenda kuwajulisha wanachama wake, wapenzi wa soka na wadau kwa ujumla kuwa taarifa za kuhama kwa wachezaji wake Didier Kavumbagu na Frank Domayo kwenda kujiunga na Azam FC zisiwakatishe tamaa, ni mapenzi ya wachezaj wenyewe kwani walishakubaliana na uongozi kila kitu juu ya kuendelea kuitumikia Yanga kabla ya siku mbili hizi kuonekana wakiwa wamejiunga na wana ramba ramba.
Yanga tayari ina wachezaji watatu wenye mikataba inayoendelea na kama kanuni za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
10 years ago
Vijimambo30 Jan
Taarifa iliyotolewa na Serikali kuhusu ishu ya kukamatwa kwa Prof. Lipumba na wafuasi wake
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Lipumba-Under-Arrest.jpg?resize=487%2C242)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/bunge_clip.jpg?resize=526%2C265)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s72-c/Untitled.jpg)
TAARIFA RASMI KUTOKA JESHI LA MAGEREZA KUHUSU TAARIFA ZA UZUSHI ZINAZOZAGAA KUWA BABU SEYA NA MAWAE WAMEACHIWA HURU
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s1600/Untitled.jpg)
Napenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa taarifa hizo zote zilizotolewa kupitia njia hizo ni za Uongo na uzushi mkubwa na zinalenga kuipotosha jamii kwani wafungwa hao wapo gerezani na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hBmt2I0IwwM/VcWf1c2IDvI/AAAAAAABTRg/f8ibKkz59OM/s72-c/CL3WowIUcAEVYWv.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Wachezaji Yanga watahadharisha
SIKU moja baada ya uongozi wa Yanga kulifagia benchi zima la ufundi isipokuwa Meneja, Hafidhi Salehe, wachezaji wa timu hiyo wamekwazwa na kitendo hicho na kudai kinaweza kusababisha wafanye vibaya...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Pluijm: Wachezaji Yanga wazembe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3JCX7BrXlulAg7jcwcw9Igm8WfgJlxVHXwgjxGxmwZ6FnXgvA7Fcj8FH7t1pC*bOFHopTebKXMloToanVDs2Gku/1.jpg)
Wachezaji Yanga walishwa kiapo
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Maximo awatisha wachezaji Yanga
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema hana nafasi kwa nyota wenye majina makubwa wasiojituma na kusema ni heri abaki na wachache wenye kujituma na kutambua wajibu...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Wachezaji walevi Yanga kukiona