Mwigulu awavaa waajiri
Aagiza wakamatwe na kushitakiwa haraka
NA MOHAMMED ISSA NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeagiza kushitakiwa kwa waajiri wote nchini, ambao hawawasilishi michango ya wafanyakazi wao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Pia imewaonya waajiri kuacha mara moja tabia ya kutopeleka ama kuchelewesha michango ya wafanyakazi kwa kuwa ni kinyume cha sheria.
Mbali na hilo, imesema inaridhishwa na utendaji unaofanywa na uongozi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, kwa kuongeza thamani ya mfuko huo.
Naibu Waziri wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Jul
MWIGULU HABARI NYINGINE HUKO IRAMBA MBIO ZA UBUNGE NDANI YA CCM,JAIRO NA WENZAKE WAJITOA,MWIGULU KUSHINDA KWA KISHINO
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11755841_413287888873445_2106573133163130795_n.jpg?oh=9451fdf345acb2c75da9e79964a0ce81&oe=5615EC51&__gda__=1447533016_32aa9a5991df6cd0b6cf358fac954b12)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/11800627_413287962206771_4754712698487591827_n.jpg?oh=941a7f964081720874405faec5869491&oe=56400105&__gda__=1447248947_9f0bfb1e592cc98af4338c6862498594)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11813446_413288078873426_9175769329529634210_n.jpg?oh=82148da2ca7fa081af44e702237fe9d2&oe=564BF80D)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11800298_413288192206748_6876444543487673492_n.jpg?oh=325138e014fca12e27f8ac823b042ec4&oe=56167396)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11752049_413288222206745_8195873578990887065_n.jpg?oh=e3074681d8f79860978335113350b32a&oe=565B295F&__gda__=1448523222_1f250c64c2c61c829a9a2e0a77da4251)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11755091_413288278873406_6272914591160075634_n.jpg?oh=e4143ad741f7dfaa1963f602e92f0fba&oe=5659D250)
10 years ago
Mtanzania27 Feb
Filikunjombe awavaa mawaziri wa JK
Na Mwandishi Wetu, Njombe
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewavaa mawaziri walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete, hasa wanaotoka Mkoa wa Njombe, kwamba wameshindwa kuusaidia mkoa huo kuweza kupiga hatua ya maendeleo.
Amesema hatua ya kushindwa kwao inawafanya mawaziri hao kubaki kuwa viongozi walalamikaji.
Hayo aliyasema jana katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC), kilichofanyika mjini Njombe, baada ya Mkuu wa Mkoa huo, Dk. Rehema Nchimbi, kuwataka wajumbe hao kujadili...
10 years ago
Mwananchi21 Sep
RC awavaa madereva bodaboda
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Dovutwa awavaa CCM
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmin Dovutwa amesema mchakato wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwahoji wanachama wake walioanza mbio za urais 2015 unatia shaka. Dovutwa alitoa kauli hiyo juzi...
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Migiro awavaa maaskofu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro amewajibu maaskofu akisema Serikali haiko tayari kuona wananchi wanafundishwa jinsi ya kupiga kura kuhusu Katiba Inayopendekezwa.
Amesema ni muhimu wananchi waachwe waamue kwa utashi wao wenyewe.
Dk. Migiro amesema Serikali inaunga mkono tamko lililotolewa na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, kuhusu mustakabali wa Katiba na si makundi ya watu na...
10 years ago
Vijimambo22 Sep
Prof. Lipumba awavaa Polisi
![](http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/12/lipumba.jpg)
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kitendo hicho ni cha uvunjaji wa katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kutafuta na kupata habari na pia ni cha uvunjaji wa haki za binadamu na kwamba, kimeonyesha jinsi jeshi hilo lisivyoheshimu haki za wananchi...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maalim Seif awavaa JK, Dk. Shein
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad amewataka Rais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein wasikubali kudanganywa na vigogo waliosimamia Bunge Maalum la Katiba (BMK)....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7DAT47wbkKwEzTrJvOwatS1yCHgg9rJbhD-K7xdBhZEcwaEfPn2rKLRX0fmAOTA0ooHE4kZ-ir9ownlZ5qn5P2I/1DAR.jpg)
Kisiga awavaa Okwi, Kiongera
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Kinana awavaa wabunge CCM
Awataka wasisubiri kuaibishwa, wajipimeLeizer aibua mapya, kubwaga manyanga
NA WAANDISHI WETU, LONGIDO
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wabunge wake kujipima kama wanatosha kabla ya kuingia tena kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kazi ya kuwatumikia wananchi.
Sambamba na hiyo, CCM imewaonya wabunge kuanza kujiengua ili kulinda heshima zao ndani na nje ya Chama.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alitoa agizo hilo juzi wakati akizungumza na wakazi wa Helendeke katika Mji Mdogo wa Namanga...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10