Waajiri nchini washauriwa
WAAJIRI nchini wameshauriwa kujenga utamaduni wa kuwa na siku maalumu ya kuwakutanisha wafanyakazi na familia zao nje ya maeneo ya kazi, jambo ambalo litawaongezea upendo na ufanisi katika utendaji kazi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAAJIRI NCHINI KUCHUKULIWA HATUA NA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini imepanga kuwachukulia hatua waajiri wote nchini kwa kushindwa kuwasilisha taarifa za wahitimu wa...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Waajiri wafundwa
WAAJIRI wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma nchini (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Moshi (MUCCoBS) kama sehemu muhimu ya kukutana na watu...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
SSRA yawaonya waajiri
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imewaonya waajiri na Mifuko ya Hifadhi nchini kutowalazimisha wafanyakazi kujiunga na mifuko wanayoitaka wao. Akitoa taarifa kwa umma...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
DK Bilal awafunda waajiri
9 years ago
Habarileo15 Aug
Waajiri wa madereva waonywa
SERIKALI itaanza kuchukua hatua za kisheria kwa waajiri watakaokiuka makubaliano katika mikataba mipya ya madereva kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu, huku madereva wakionywa kuacha tishio la migomo.
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Mwigulu awavaa waajiri
Aagiza wakamatwe na kushitakiwa haraka
NA MOHAMMED ISSA NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeagiza kushitakiwa kwa waajiri wote nchini, ambao hawawasilishi michango ya wafanyakazi wao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Pia imewaonya waajiri kuacha mara moja tabia ya kutopeleka ama kuchelewesha michango ya wafanyakazi kwa kuwa ni kinyume cha sheria.
Mbali na hilo, imesema inaridhishwa na utendaji unaofanywa na uongozi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, kwa kuongeza thamani ya mfuko huo.
Naibu Waziri wa...
11 years ago
Habarileo01 Jul
Bodi ya Mikopo kuwashitaki waajiri
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini imepanga kuwachukulia hatua waajiri wote nchini, kwa kushindwa kuwasilisha taarifa za wahitimu wa elimu ya juu, wanaodaiwa na Bodi hiyo.