Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waombwa kuunga mkono katiba pendekezi

WAZIRI wa Uwezeshaji, Wanawake, Vijana, Watoto, Zainab Omar Mohamed amewataka akinamama nchini kuiunga mkono katiba inayopendekezwa ambayo ndiyo muarobaini wa kupambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia na ubakaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Washirika wa michezo waombwa kuunga mkono sekta hiyo

192

Meneja wa Benki ya Taifa ya Biashara { NMB } Tawi la Zanzibar Rajab Maalim akielezea mikakati ya Benki yake katika kusaidia masuala ya Kijamii wakati wa hafla ya kukabidhi michango kwa wanamichezo wa Zanzibar wenye ulemavu wa akili  Ofisini kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  Vuga Mjini Zanzibar.

Na Othman Khamis Ame, Visiwani

WASHIRIKA wa michezo ndani na nje ya nchi bado wana fursa kubwa ya kuendelea kujitolea kuunga mkono nguvu zao katika sekta ya michezo ili kuijengea...

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA

Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWAVijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.KUNDI la vijana la 4U Movement, lililokuwa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Chenge kuwasilisha Katiba Pendekezi Bungeni leo

Na mwandishi wetu, Dodoma
Andrew ChengeWAKATI wajumbe wa kundi la Katiba ya Wananchi (UKAWA), wakiendelea kususa, Bunge Maalumu la Katiba leo linaingia kwenye hatua muhimu pale Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, Andrew Chenge, atakapowasilisha Katiba Pendekezi.
Chenge, ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, anatarajiwa kuwasilisha Katiba Pendekezi kwa Mwenyekiti wa Bunge, Samuel Sitta, baada ya kukamilisha kazi hiyo.
Mara baada ya kuwasilishwa, wajumbe wa Kamati...

 

10 years ago

GPL

NEC: KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA PENDEKEZI KUTOFANYIKA APRILI 30

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji Mstaasfu Damiani Lubuva. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa zoezi la upigaji kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa, halitafanyika kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali kufanyika Aprili 30 mwaka huu hadi hapo itakapotangazwa tena. NEC imetoa sababu kuwa, kuahirishwa kwa zoezi hilo ni kutokana na kutokamilika kwa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kuunga mkono demokrasia Myanmar

Kiongozi wa upinzani wa Myanmar's, Aug San Suu Kyi, ameelezea imani yake kwamba Marekani itaendelea kuunga mkono democrasia nchini

 

10 years ago

Vijimambo

ASANTENI SANA KWA KUUNGA MKONO SHINA

Bi. Jessca Kamala Mushala
Asante for last night. Your presence meant a lot to us.. Special needs children un Tanzania are better off today because of your you. Hope you enjoyed yourself. Stay blessed. J.mushala

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania kuunga mkono jitihada za Misri kurejea AU

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameihakikishia Misri kuwa Tanzania itaunga mkono jitihada za nchi hiyo kurejeshewa uanachama wake katika Umoja wa Afrika (AU), baada ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa kidemokrasia nchini humo Aprili mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tujenge utamaduni wa kuunga mkono wasanii wetu

Moja katika mambo ambayo wadau wa tasnia ya sanaa tumefanikiwa kuyafanya kwa umakini katika kipindi chote cha mwaka huu ni ushabiki. Watanzania ushabiki tunauweza na tunaweza kuwekeza muda na nguvu kazi katika hili.

 

10 years ago

Habarileo

CCM Mara yampongeza JK kuunga mkono BMK

MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, amempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kitendo chake cha kuunga mkono Bunge Maalum la Katiba wakati wote lilipokuwa linaendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani