Maalim Seif akutana na ujumbe wa baraza la wafanyabiashara wa Uturuki
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na ujumbe wa baraza la wafanyabiashara waUturuki,uliofika ofisini kwake Migombani kwa ajili ya mazungumzo ya kuendeleza biashara kati ya Zanzibar na Uturuki.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na mwenyekiti wa baraza la wafanyabiashara wa Uturuki na Tanzania Atakan Giray, Ofisini kwake Migombani.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lvhzgf2LTbezYsTWF7ah2HNw70soIXzDq1QeesAq7F5WPz9PgQAPaFxrzLSzBSlf3eZeN-kBZXIy1Mj5-trujtC/unnamed1.jpg?width=650)
MAALIM SEIF ZIARANI UTURUKI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s72-c/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
MAALIM SEIF ZIARANI NCHINI UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-We3wBZ5wHwo/VJAPUCi6I0I/AAAAAAAG3iI/V5XHSEX4yz0/s1600/0%2C%2C17838008_303%2C00.jpg)
Ziara hiyo inafuatia mwaliko rasmi wa serikali ya Uturuki kupitia kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe. Ahmet Davutoglu.
Kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa mjini Istanbul, Maalim Seif alipokelewa na Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo Mhe. Mevlut Cavusoglu.
Mbali ya kufanya mazungumzo na mwenyeji wake ambaye ni Waziri Mkuu wa Uturuki, Makamu wa Kwanza wa Rais wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UTURUKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILzCl1fsgiA/VJKHJGgZgkI/AAAAAAAG4DQ/yMVIen9SmN4/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUqOy4tySjg/VJKHJd6lifI/AAAAAAAG4DM/jdwEgGINH1Q/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WyKeEU9Uykg/VJKHKpNaqXI/AAAAAAAG4Dg/VC2EweCtDAQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
Maalim Seif kuwawekea mazingira bora wafanyabiashara
Mgombea urais wa Zanzibar wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni uliyofanyika kwenye uwanja wa Kwageji, Bububu Unguaj. Na Hassan Hamad, OMKR Sunday, October 18, 2015 […]
The post Maalim Seif kuwawekea mazingira bora wafanyabiashara appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
JK akutana na Maalim Seif
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RO5I4nwjHNU/VECBvGeVy8I/AAAAAAAGrGo/QLWIbAyIvwo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
UHISPANIA NA UTURUKI WACHUANA VIKALI NAFASI YA UJUMBE USIO WA KUDUMU WA BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
MichuziMAALIM SEIF AKUTANA NA MASHEIKH
Na: Hassan Hamad, OMKR.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameahidi kushirikiana na taasisi zote za dini nchini sambamba na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EuOupYz16jA/VOX6Vh2mGfI/AAAAAAAHEj8/dMiGY9nQS_I/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
MAALIM SEIF AKUTANA NA BODI YA WAASISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EuOupYz16jA/VOX6Vh2mGfI/AAAAAAAHEj8/dMiGY9nQS_I/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dJR-Qew8usk/VOX6V1LcxRI/AAAAAAAHEkA/vJHCFATKHnQ/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ej1usOogttM/VOX6W_mT4uI/AAAAAAAHEkM/hjI7SlNtISA/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Kikwete akutana na Maalim Seif wa Zanzibar