Maalim Seif kuwawekea mazingira bora wafanyabiashara
Mgombea urais wa Zanzibar wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni uliyofanyika kwenye uwanja wa Kwageji, Bububu Unguaj. Na Hassan Hamad, OMKR Sunday, October 18, 2015 […]
The post Maalim Seif kuwawekea mazingira bora wafanyabiashara appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na ujumbe wa baraza la wafanyabiashara wa Uturuki
9 years ago
StarTV28 Nov
Wafanyabiashara soko la dagaa waiomba Serikali kuwawekea mipango madhubuti
Wafanyabiashara wa Dagaa nchini wameiomba Serikali kuweka mipango madhubuti ya kuimarisha soko la dagaa ndani na nje ya Tanzania ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi kupitia rasilimali hiyo.
Wamesema kwa sasa kuna ongezeko la uhijati wa dagaa katika maeneo mengi ikiwa ni pamoja na nje ya Tanzania, lakini bado wanakabiliwa na changamoto ya upataji wa masoko hayo ya nje kulingana na viwango vya kimataifa.
Jijini Dar Es Salaam, baadhi ya wafanyabiashara kutoka mikoa inayovua dagaa kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p5EVsqU3o1M/VaVhe5Y_WNI/AAAAAAAHptw/O_SX1cf1jJI/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Maalim seif afungua kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji kwenye maonyesho la biashara ya Milan, Italia
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5EVsqU3o1M/VaVhe5Y_WNI/AAAAAAAHptw/O_SX1cf1jJI/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bNMK8eCiySg/VaVhR6STPaI/AAAAAAAHptk/eEbOSoSz24Q/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-def_zL9yGV0/VaVhR1kW_QI/AAAAAAAHptg/-pMTlLYaWbk/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Maalim Seif: Msihofu
10 years ago
Mtanzania09 Sep
‘Maalim Seif ni Popo’
![maalim seif sharif hamad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/maalim-seif-sharif-hamad.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF), amemshambulia kwa maneno Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Maalim Seif Sharif Hamad, huku akimfananisha na popo.
Mbunge huyo alisema hayo baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema lengo ni kujibu mashambulizi yaliyoelezwa kwake na...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
JK akutana na Maalim Seif
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Maalim Seif amtega JK
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanaweza kurudi bungeni iwapo Rais Jakaya Kikwete atawahakikishia kuwa...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ni Shein na Maalim Seif