Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CDA yapania kurejea Ligi Kuu

TIMU ya CDA Dodoma inayoshiriki Ligi ya Mkoa, imetamba kujiandaa vema msimu huu ili iweze kutwaa ybungwa na hatimaye kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL). Mikakati hiyo imekuja kwa lengo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni, zaidi ya miezi mitatu baada ya kuahirishwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

AFC yaanza safari kurejea Ligi Kuu

TIMU ya AFC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Arusha baada ya kuipa kipigo cha mbwa mwizi Laibon ya Longido kwa mabao 9-1 katika mchezo wa mwisho wa hatua ya...

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU


Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.  
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya,...

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

11 years ago

Mwananchi

CDA chupuchupu Ligi ya Mabingwa

>Klabu ya soka ya CDA ya Dodoma imenusurika kichapo mbele ya African Sports ya Tanga, huku Kiluvya FC ikiendeleza kugawa pointi katika Ligi ya Mabingwa wa mikoa inayoendelea kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

11 years ago

Mwananchi

CDA, Bulyanhulu jino kwa jino Ligi ya Mabingwa

Klabu za Mji Mkuu (CDA) ya Dodoma na Bulyanhulu FC ya Shinyanga zimeanza kuonyesha dhamira ya kupigana vikumbo kugombea nafasi ya kwanza kituo cha Morogoro katika Ligi ya Mabingwa ya Mikoa kwa kukusanya pointi saba katika ngwe ya kwanza.

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani