Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Vita ya ujangili yaanza kuzaa matunda

nyalandu-janNa Mwandishi Wetu, Manyoni
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kumekuwapo na mafanikio katika vita dhidi ya majangili kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, majangili walivamia kwa kasi na kuwaua wanyamapori wakiwamo tembo na faru, hatua ambayo iliibua tishio la kutoweka kwa baadhi ya wanyamapori.
Juzi Waziri Nyalandu alitangaza kukamatwa kwa silaha za kivita zikiwamo bunduki za AK 47 na SMG katika Pori la Akiba la Rungwa...

 

11 years ago

Michuzi

Maboresho bandari ya Dar es Salaam yaanza kuzaa matunda

Maboresho yanayofanywa na serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika kuboresha huduma zinazotolewa na bandari ya Dar es Salaam sasa zimeanza kuzaa matunda.  Kaimu Meneja Mawasiliano wa TPA, Bi. Janeth Ruzangi aliwaambia waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kuwa bandari imeanza kupata mafanikio katika kuwahudumia wateja wake na maeneo mengine kutokana maboresho yanayo endelea kufanywa.  Katika miaka ya hivi karibuni pamekuwepo na mikakati mbalimbali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu dhidi ya unyanyasaji Mbozi yaonyesha matunda

UNYANYASAJI wa kijinsia unapingwa na mataifa mbalimbali duniani. Hapa nchini kuna mashirika ya kutetea haki za binadamu yanayohakikisha mwanamke analindwa na kupewa haki zake za msingi ili asikandamizwe na mwanaume....

 

9 years ago

StarTV

Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika  sekta hiyo pamoja na  kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.

Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.

 Katika uzinduzi wa jopo la washauri...

 

10 years ago

Mwananchi

Mauya: Tunayoona ni matunda ya kuichezea elimu miaka ya 1970

Uzoefu unaonyesha kwamba kadiri miaka inavyosonga mbele, ndivyo utamaduni wa Watanzania kujisomea wakubwa kwa wadogo na maskini kwa matajiri unavyozidi kushuka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko sekta ya elimu

SERIKALI imesema kuwa wanafunzi 16,800 wakiwemo watahiniwa wa kujitegemea 10, wenye sifa lakini wamekosa nafasi za kujiunga kidato cha tano, sasa wataanzishiwa utaratibu wa kusoma stashahada ya ualimu pamoja na...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Sekta ya Elimu taabani’

12NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

UBORA wa elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne umetajwa kushuka kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu kutokana na kukosekana kwa falsafa ya kuendeleza elimu licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.

Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya Elimu ya Miaka 10 ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne, Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu, John Kalage, alisema katika kipindi cha uongozi wa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Msiitumie sekta ya elimu kibiashara’

WATU waliowekeza kwenye sekta ya elimu wilayani Kinondoni wametakiwa kutoitumia sekta hiyo kama biashara badala yake watoe huduma ili isiwe mzigo kwa wazazi na walezi wanaosomesha watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani