Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu dhidi ya unyanyasaji Mbozi yaonyesha matunda

UNYANYASAJI wa kijinsia unapingwa na mataifa mbalimbali duniani. Hapa nchini kuna mashirika ya kutetea haki za binadamu yanayohakikisha mwanamke analindwa na kupewa haki zake za msingi ili asikandamizwe na mwanaume....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.

 

11 years ago

GPL

MAKAHABA WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA KUKOMESHA UNYANYASAJI DHIDI YA WAFANYABIASHARA YA NGONO KENYA

LEO ni Siku ya Kimataifa Kukomesha Unyanyasaji Dhidi ya Wafanyabiashara ya Ngono Duniani. Nchini Kenya wafanyabiashara ya ngono walijumuika kwa pamoja na kufanya maandamano ya amani jijini Nairobi na Kisumu na kuitaka serikali ishughulikie matatizo yanayowakabili na kutaka kazi yao itambulike rasmi kama kazi nyenginezo. (VIDEO: KTN)

 

10 years ago

Mwananchi

Mauya: Tunayoona ni matunda ya kuichezea elimu miaka ya 1970

Uzoefu unaonyesha kwamba kadiri miaka inavyosonga mbele, ndivyo utamaduni wa Watanzania kujisomea wakubwa kwa wadogo na maskini kwa matajiri unavyozidi kushuka.

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki

Jimbo la Mbarali kama yalivyo mengine lilianza siasa za vyama vingi mwaka 1995 kwa ushawishi wa kipekee kutoka kwa vyama mbalimbali, huku NCCR Mageuzi ikionyesha kila aina ya makeke.

 

10 years ago

Michuzi

MWANAHARAKATI KHADIJA LIGANGA ATOA SEMINA YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO KWA VIJANA ZAIDI YA 100 JIJINI MWANZA

Mwanaharakati toka Shirika la Kutetea Haki za Wanawake la KIVULINI la jijini Mwanza, Bi. Khadija Liganga ametoa mafunzo ya siku moja kuhusu Unyanyasaji wa kijinsia na ukatili Dhidi ya watoto kwa vijana takribani 100 wa jiji la Mwanza ikiwa ni hatua za kuwajenga vijana katika misingi ya kuachana na mila, tamaduni na dhana potofu zinazowakandamiza wanawake na watoto katika jamii.
Semina hiyo iliyoandaliwa na Teen Club Mwanza, ililenga Kujenga uwezo wa kutambua ukatili na unyanyasaji wa...

 

10 years ago

GPL

DK. SLAA AVISHWA VAZI LA KICHIFU, APEWA JINA LA 'MWENE WA MBOZI' HUKO MBOZI MKOANI MBEYA

Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akimvisha vazi maalum la kichifu Dk.Slaa. Kiongozi wa Machifu wa Kabila la Wanyiha, Greenwell Msangawale akiongea na wananchi wa Mbozi baada ya zoezi hilo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

VYOMBO VYA HABARI VYA KIJAMII : Vyashauriwa kuwa elimu ya unyanyasaji kijinsia

VYOMBO vya habari vya kijamii (Community Media) vikitumika sawasawa katika kutoa habari vitajenga na  kuwa msaada mkubwa wa maendeleo kwa jamii. Katika kuelimisha huko jamii  itafahamu madhara yanayokua kwa kasi...

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Habarileo

Ataka elimu dhidi ya ukatili kuimarishwa

MWENYEKITI wa Umoja wa Wawakilishi wanawake (UWAWAZA) Mgeni Hassan Juma amezitaka asasi za kiraia kufanya kazi ya kutoa elimu kwa wananchi katika masuala mbalimbali ikiwemo ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani