Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauya: Tunayoona ni matunda ya kuichezea elimu miaka ya 1970

Uzoefu unaonyesha kwamba kadiri miaka inavyosonga mbele, ndivyo utamaduni wa Watanzania kujisomea wakubwa kwa wadogo na maskini kwa matajiri unavyozidi kushuka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

PROFESA KABUDI AMLILIA BALOZI DK.MAHIGA...AELEZA ALIVYOMFAHAMU TANGU MIAKA YA 1970, PIGO KWA NCHI

 Na Ripota Wetu,Michuzi TV

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa John Kabudi amesema amepokea kwa masikitiko makubwa ,majonzi na mfadhahiko mkubwa taarifa za kufariki Dunia kwa Balozi Dk.Agustine Mahiga huku akieleza kuwa Tanzania imempoteza mwana halisi wa Tanzania na mzalendo aliyeitumikia nchi kwa moyo na akili zake zote.

Balozi Dk.Mahiga amefariki Dunia leo Mei 1, mwaka 2020 na kifo chake kimeishtua Mataifa mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa kwenye eneo...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu dhidi ya unyanyasaji Mbozi yaonyesha matunda

UNYANYASAJI wa kijinsia unapingwa na mataifa mbalimbali duniani. Hapa nchini kuna mashirika ya kutetea haki za binadamu yanayohakikisha mwanamke analindwa na kupewa haki zake za msingi ili asikandamizwe na mwanaume....

 

10 years ago

GPL

TFF wakubali Coutinho kuichezea Stars

Kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho. Na Mohammed Mdose

BAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kuonyesha nia yake ya kuichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemkubalia lakini limempa masharti ya kufuata. 
Coutinho aliyetua Yanga mwanzoni mwa msimu huu, alitamka kuwa kutokana na nafasi finyu ya yeye kuichezea timu ya taifa ya nchini kwao, basi yupo...

 

9 years ago

Bongo5

Flora Mvungi amzuia H.Baba kuichezea Toto African

H.Baba amesema ameshindwa kuichezea klabu yake ya ligi kuu Tanzania bara ‘Toto African’ ya jijini Mwanza msimu huu kutokana na sababu za kifamilia. Muimbaji huyo ambaye alisema ataonekana akiichezea klabu hiyo katika msimu huu wa ligi, ameiambia Bongo5 kuwa, mke wake amemkataza kufanya hivyo. “Mke wangu Khadija (Flora) alikataa nisicheze mpira kwa sababu alisema nitakuwa […]

 

10 years ago

Vijimambo

EBOLA HAS BEEN IN AFRICA SINCE 1970

The media is talking about Ebola so much right now. Ebola has been in Africa since 1970. It has been killing just poor people before. The pharmacist didn't care about developing vaccinations. Because this disease was only killing Africa poor people. To develop a vaccine is expensive and the pharmacist didn't have enough market so they gave up. MALARIA kills 3,000 people everyday. Nobody talks about malaria because again, it only really affects poor people. If you have money malaria can't...

 

5 years ago

The Citizen Daily

How Arusha declaration influenced 1970 elections

How Arusha declaration influenced 1970 elections  The Citizen Daily

 

5 years ago

The Citizen Daily

What Mwalimu Nyerere said after 1970 election landslide

What Mwalimu Nyerere said after 1970 election landslide  The Citizen Daily

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani