TFF wakubali Coutinho kuichezea Stars
![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQbjlQ-P0t25nPqd5WhAfMYIDoA6N7iLVR-*-WsRhY*T539wrFp7tiFgkl5bX6oCM3*f6lsuzqwfXQR30GqPQXVz/tff.jpg)
Kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho. Na Mohammed Mdose 
BAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kuonyesha nia yake ya kuichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemkubalia lakini limempa masharti ya kufuata. 
Coutinho aliyetua Yanga mwanzoni mwa msimu huu, alitamka kuwa kutokana na nafasi finyu ya yeye kuichezea timu ya taifa ya nchini kwao, basi yupo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4wwoEk7SwLHQFm0XnDaO0Jdl04-8WHaouM2BkMLitEFqkHi-64jzuoq98MO7x0RuYNrj8NAiiJDI-9Jw5a9jBqX/tinyo.jpg)
Coutinho aomba kucheza Taifa Stars
5 years ago
Mirror Online25 Mar
Antoine Griezmann and Philippe Coutinho 'among seven Barcelona stars up for transfer'
9 years ago
Habarileo17 Nov
TFF, Kamati Taifa Stars zatofautiana
SHIRIKI la Soka Tanzania (TFF) na Kamati ya Taifa Stars zimetofautiana katika kauli zao kuhusu kiasi cha fedha watakachopewa wachezaji baada ya kutoka sare ya 2-2 na Algeria Jumamosi. Taifa Stars na Algeria zilipambana kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kusaka nafasi ya kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Dunia.
9 years ago
Michuzi15 Oct
TFF YAUNDA KAMATI YA TAIFA STARS
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/VDWXDz51q26oe_9JNibFJZXIod4Vn1gVggGo3yWDMM_pJDRgmYtxnollbmcZR9xQ4D9nR3OezpqXClM8jw=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/malinziArst.png)
Katika kuimarisha maandalizi ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) kuelekea katika mashindano mbalimbali ikiwemo mechi mbili za ugenini na nyumbani dhidi ya Algeria, Rais wa TFF Jamal Malinzi ameunda kamati maalum itakayoitwa “Kamati ya Taifa Stars” ambayo majukumu yake yatakua:(i) Kuimarisha huduma kwa wachezaji,(ii) Uhamasishaji na Masoko,(iii) Kuhamasisha wachezaji,(iv) Kuandaa na kusimamia mkakati wa Ushindi.
Kamati hii itaongozwa na Mwenyekiti Farough Baghouzah, Teddy Mapunda (Katibu), Wajumbe...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
FAT ah! TFF yateua Taifa Stars
10 years ago
Habarileo02 Aug
Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar
WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.
10 years ago
MichuziTFF yaweka msisitizo Airtel Rising Stars
![](http://3.bp.blogspot.com/-X_hbK4d9TXo/VZzpnFRzp3I/AAAAAAAHnr4/klyMQCkvrOA/s640/Picture%2B2.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Jezi za Kili Stars hazikuvunja kanuni-TFF
9 years ago
TheCitizen15 Sep
Use Rising Stars finals to spot talents, TFF urged