Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF wakubali Coutinho kuichezea Stars

Kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho. Na Mohammed Mdose

BAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kuonyesha nia yake ya kuichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemkubalia lakini limempa masharti ya kufuata. 
Coutinho aliyetua Yanga mwanzoni mwa msimu huu, alitamka kuwa kutokana na nafasi finyu ya yeye kuichezea timu ya taifa ya nchini kwao, basi yupo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Coutinho aomba kucheza Taifa Stars

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Na Mohammed Mdose
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, amesema yupo tayari kuichezea timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, iwapo Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) litamtaka afanye hivyo. Sheria za Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) zinaruhusu raia wa nchi fulani kuichezea timu ya taifa ya nchi nyingine, akipata uraia wa nchi hiyo na iwapo...

 

5 years ago

Mirror Online

Antoine Griezmann and Philippe Coutinho 'among seven Barcelona stars up for transfer'

Antoine Griezmann and Philippe Coutinho 'among seven Barcelona stars up for transfer'  Mirror OnlineThe Arsenal morning headlines as door opened for Antoine Griezmann transfer and Petit admission  Football.LondonBarcelona face big Neymar transfer problem and will have to sell 'seven or eight' players  Express‘The door is open’: Balague suggests reported Arsenal target could move  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicPapers: Barcelona put eight players up for sale  Barca BlaugranesView...

 

9 years ago

Habarileo

TFF, Kamati Taifa Stars zatofautiana

SHIRIKI la Soka Tanzania (TFF) na Kamati ya Taifa Stars zimetofautiana katika kauli zao kuhusu kiasi cha fedha watakachopewa wachezaji baada ya kutoka sare ya 2-2 na Algeria Jumamosi. Taifa Stars na Algeria zilipambana kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kusaka nafasi ya kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Dunia.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAUNDA KAMATI YA TAIFA STARS


Katika kuimarisha maandalizi ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) kuelekea katika mashindano mbalimbali ikiwemo mechi mbili za ugenini na nyumbani dhidi ya Algeria, Rais wa TFF Jamal Malinzi ameunda kamati maalum itakayoitwa “Kamati ya Taifa Stars” ambayo majukumu yake yatakua:(i) Kuimarisha huduma kwa wachezaji,(ii) Uhamasishaji na Masoko,(iii) Kuhamasisha wachezaji,(iv) Kuandaa na kusimamia mkakati wa Ushindi.
Kamati hii itaongozwa na Mwenyekiti Farough Baghouzah, Teddy Mapunda (Katibu), Wajumbe...

 

11 years ago

Mwananchi

FAT ah! TFF yateua Taifa Stars

>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limerudi enzi zake lilipokuwa linaitwa Chama cha Soka (FAT) kwa kuteua kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ bila kumshirikisha Kocha Mkuu, Kim Poulsen.

 

10 years ago

Habarileo

Twiga Stars waishukuru TFF kuipeleka Zanzibar

WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars wamelishukuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kuihamishia kambi yao Zanzibar.

 

10 years ago

Michuzi

TFF yaweka msisitizo Airtel Rising Stars

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akiongea wakati wa ufunguzi wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars kwa viongozi wa mikoa iliyofanyika leo (Julai 7, 2015) jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mwenyekiti soka la vijana wa TFF Ayoub Nyenzi na Kushoto ni Mwenyekiti msaidizi soka la vijana wa TFF Khalid Abdallah.Mkurugenzi wa ufundi wa TFF Salim Madadi akiongea wakati wa wa semina elekezi ya Airtel Rising Stars kwa viongozi wa mikoa iliyofanyika leo (Julai 7, 2015) jijini Dar es...

 

9 years ago

Mwananchi

Jezi za Kili Stars hazikuvunja kanuni-TFF

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetetea kitendo cha timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kutumia jezi ya mazoezi yenye nembo ya mdhamini katika mashindano ya Chalenji yanayoendelea Ethiopia, likidai kuwa halijavunja kanuni.

 

9 years ago

TheCitizen

Use Rising Stars finals to spot talents, TFF urged

The ministry of Information, Youth, Culture and Sports has called on the Tanzania Football Federation and other stakeholders to use the ongoing U-17 Airtel Rising Stars finals to realise more potential talents.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani