Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ELIMU DHIDI YA KIPINDUPINDU

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Vita Dhidi Ya Kipindupindu  Watumishi, wakazi wa Bukoba wafanya usafi

 

Kauli ya Rais John Magufuli ya kufanya usafi na kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu imeanza kuungwa mkono na watumishi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ambao wameungana na wakazi wa manispaa hiyo kufanya usafi na kusimamia zoezi hilo.

Kitendo cha watumishi hao kinakwenda sambamba na kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu ambao hadi sasa umekwishapoteza maisha ya watu wawili katika manispaa hiyo.

Moja ya maeneo ya biashara ambayo yameamuriwa kufungwa ,kutokana na eneo hilo kukithiri kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.

KIPINDUWMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake.

KIPINDUZMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar 

[ZANZIBAR]....

 

9 years ago

Vijimambo

KUFUATIA KURIPOTIWA UGONJWA WA KIPINDUPINDU KUINGIA MANISPAA YA DODOMA WANANCHI BADO HAWAJAWA NA ELIMU JINSI YA KUKABILIANA NAO

  Baadhi ya  akina mama na watoto wao wakitafutia chochote katika Dampo ambalo si Rasmi lililopo pembezoni mwa Barabara ya 12 karibu na kituo cha Daladala ziendazo Nkuhungu Jamatini bila kujali maambukizi ya magonjwa, huku wahusika wakioneka kutokujali


wakati ugonjwa wa kipindupindu ukiwa unazidi kushika kasi  katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam huko mkoani dodoma nako inasadikika kwamba ugonjwa huo umekwisha gonga hodi huku wakazi wa maeneo mbalimbali wakionekana kusambasa...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

11 years ago

Habarileo

Ataka elimu dhidi ya ukatili kuimarishwa

MWENYEKITI wa Umoja wa Wawakilishi wanawake (UWAWAZA) Mgeni Hassan Juma amezitaka asasi za kiraia kufanya kazi ya kutoa elimu kwa wananchi katika masuala mbalimbali ikiwemo ya vitendo vya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu dhidi ya unyanyasaji Mbozi yaonyesha matunda

UNYANYASAJI wa kijinsia unapingwa na mataifa mbalimbali duniani. Hapa nchini kuna mashirika ya kutetea haki za binadamu yanayohakikisha mwanamke analindwa na kupewa haki zake za msingi ili asikandamizwe na mwanaume....

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali, UN, vyombo vya habari kutoa elimu dhidi ya Ebola

001

Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, Said Makora (kulia), akielezea jinsi Wizara hiyo inavyopambana kutoa elimu ya ugonjwa wa Ebola kwa wananchi wakati wa kongamano lililoandaliwa na UNESCO, WHO, UNICEF, Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Novemba 11,2014 jijini Dar es Salaam mkutano huo uliowakutanisha wamiliki wa Redio za kijamii kuwaelimsha Radio za Kijamii za...

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu ya afya ya uzazi inaepusha wanafunzi dhidi ya tamaa mbaya

>Ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana husababisha mimba katika umri mdogo.Hii inatokana na ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi unatokana na imani potofu miongoni mwa jamii kwamba, kuwapatia elimu hiyo vijana ni sawa na kumruhusu kujihusisha na vitendo vya ngono.

 

10 years ago

GPL

SERIKALI, UN, VYOMBO VYA HABARI KUTOA ELIMU DHIDI YA EBOLA‏

Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, Said Makora (kulia), akielezea jinsi Wizara hiyo inavyopambana kutoa elimu ya ugonjwa wa Ebola kwa wananchi wakati wa kongamano lililoandaliwa na UNESCO, WHO, UNICEF, Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Novemba 11,2014 jijini Dar es Salaam mkutano huo uliowakutanisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani