Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Msiitumie sekta ya elimu kibiashara’

WATU waliowekeza kwenye sekta ya elimu wilayani Kinondoni wametakiwa kutoitumia sekta hiyo kama biashara badala yake watoe huduma ili isiwe mzigo kwa wazazi na walezi wanaosomesha watoto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika  sekta hiyo pamoja na  kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.

Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.

 Katika uzinduzi wa jopo la washauri...

 

9 years ago

Michuzi

Semina za kujiendeleza katika elimu ya kibiashara

Napenda kuwajulisha Watanzania waishio Dallas, Omaha, na Kansas City kwamba kutatolewa semina ambazo zitatoa fursa ya kujiendeleza katika elimu ya kibiashara. Kama unatarajia kuanziasha biashara yako kwa siku za karibuni au ndio kwanza umeanza biashara yako; basi kuna umuhimu wa kupata mwamko/elimu zaidi juu ya uanzishaji na uendeshaji wa biashara katika viwango vya juu.

Elimu hii ni muhimu kwa watarajiwa ili kuanzisha biashara zenye ujasiri na ufanisi zaidi katika hatua za kupambana na...

 

11 years ago

Michuzi

PPF KANDA YA KINONDONI YAENDELEA KUTOA ELIMU KATIKA MAONESHO YA 2 YA KIBIASHARA YA TANGA

Meneja wa PPF Kanda ya Kinondoni inayojumuisha wilaya ya Kinondoni, mkoa wa Pwani (Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo) na mkoa wa Tanga Bi Zahra Kayugwa akimsikiliza Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda alipotembelea katika banda la PPF, pembeni yake ni Makamu wa Rais Viwanda – TCCIA Makao makuu ,Ndugu Yakub Hasham. Mfuko wa PPF unaandikisha wanachama kutoka katika sekta rasmi na isiyo rasmi. Afisa Mwandamizi wa PPF Kanda ya Kinondoni Bi Upendo Mazzuki akitoa elimu kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Sekta ya Elimu taabani’

12NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

UBORA wa elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne umetajwa kushuka kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu kutokana na kukosekana kwa falsafa ya kuendeleza elimu licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.

Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya Elimu ya Miaka 10 ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne, Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu, John Kalage, alisema katika kipindi cha uongozi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko sekta ya elimu

SERIKALI imesema kuwa wanafunzi 16,800 wakiwemo watahiniwa wa kujitegemea 10, wenye sifa lakini wamekosa nafasi za kujiunga kidato cha tano, sasa wataanzishiwa utaratibu wa kusoma stashahada ya ualimu pamoja na...

 

10 years ago

Mwananchi

Sekta ya elimu ijengwe upya

MATOKEO ya kidato cha nne yameshtua wengi Tanzania.  Pamoja na laumu hizo kwenda huku na kule,  lakini sidhani kama kuna sababu ya kushtuka, kwa sababu tatizo hili sio la leo

 

10 years ago

Habarileo

JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.

 

11 years ago

Mwananchi

Makundi ya rushwa katika sekta ya elimu

Tanzania iko katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa wenye dhamira ya kubadili mifumo kadhaa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii hasa elimu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Embukoi wapania mapinduzi sekta ya elimu

MWENYEKITI wa Kijiji cha Embukoi wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, Lazaro Lengere, amesema kwamba wamejipanga kuleta mapinduzi kwenye sekta ya elimu kwa kujali usawa wa kijinsia, kitu ambacho miaka ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani