Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Embukoi wapania mapinduzi sekta ya elimu

MWENYEKITI wa Kijiji cha Embukoi wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, Lazaro Lengere, amesema kwamba wamejipanga kuleta mapinduzi kwenye sekta ya elimu kwa kujali usawa wa kijinsia, kitu ambacho miaka ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Simba wapania Kombe la Mapinduzi

TIMU za Simba na Azam zimepania kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuhakikisha zinapambana mwanzo hadi mwisho na kushinda kila mchezo ulioko mbele yao.

 

9 years ago

StarTV

Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika  sekta hiyo pamoja na  kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.

Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.

 Katika uzinduzi wa jopo la washauri...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mapinduzi ya kitekinolojia katika sekta ya afya

Dr-Reddy-Telemedicine-Swahili

Katika muongo uliopita sekta ya afya imeshuhudia mabadiliko fulani ya ajabu katika maendeleo ya kiteknolojia na uvumbuzi ambao umeleta mchango mkubwa katika utoaji wa ushauri na matibabu kwa wagonjwa. Mapinduzi hayo yamesaidia kuboresha utoaji huduma za afya na matokeo mazuri kwa wagonjwa. Maendeleo ya kiteknolojia yamepindua sekta ya huduma za afya kwa njia nyingi na kuleta njia za kisasa na bora zaidi za matibabu; Ukuaji wa technolojia umesaidia sana katika upatikanaji wa data na pia...

 

5 years ago

Michuzi

Kampuni za mawasiliano ya simu zinavyoleta mapinduzi katika sekta ya afya


Wiki iliyopita Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Chuo Kikuu cha Oxford imetangaza mradi mkubwa wa afya nchini Tanzania. Mradi huo utakaogharimu shilingi za Kitanzania bilioni 13.5 unalenga kutumia teknolojia ya akili bandia za mifumo ya kompyuta kwa kimombo Artificial Intelligence (AI)na ugunduzi wa chanzo na athari za magonjwa kidijitali (digital pathology). Uwekezaji wa namna hii unasaidia kuhakikisha kwamba hospitali nchini Tanzania zinaendelea kujenga uwezo wa kutoa huduma...

 

10 years ago

Mtanzania

Mapinduzi ya elimu

Pg 1Na Aziza Masoud, Dar es Salaam

SERIKALI imetangaza kuwa itaanza kutoa elimu ya sekondari bure kuanzia Januari 2016, ili kila Mtanzania awe na elimu ya kidato cha nne katika miaka ijayo.
Imesema sambamba na kutoa elimu ya sekondari bure, sera mpya ya elimu na mafunzo inaelekeza utaratibu wa kupanga ada kwa shule binafsi ili kupunguza malalamiko ya wazazi ya kulipa fedha nyingi kwa elimu za awali.
Uamuzi huo wa serikali ulitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Rais Jakaya Kikwete, wakati...

 

5 years ago

CCM Blog

DC MPYA ARUSHA AWAAMBIA MADAKTARI JINSI SERIKALI YA JPM ILIVYOLETA MAPINDUZI KWENYE SEKTA YA AFYA

Arusha, TanzaniaMKUU mpya wa Wilaya ya Arusha, Kenan Laban Kihongosi amesema Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli imeleta mapinduzi makubwa na yanayostahili kupongezwa katika sekta ya afya hapa nchini.
DC Kihongosi aliyasema hayo juzi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi  kwa madaktari na watoa huduma ya afya ambayo aliyafungua kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta.
Mafunzo hayo...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Sekta ya Elimu taabani’

12NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

UBORA wa elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne umetajwa kushuka kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi yetu kutokana na kukosekana kwa falsafa ya kuendeleza elimu licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.

Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya Elimu ya Miaka 10 ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne, Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu, John Kalage, alisema katika kipindi cha uongozi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabadiliko sekta ya elimu

SERIKALI imesema kuwa wanafunzi 16,800 wakiwemo watahiniwa wa kujitegemea 10, wenye sifa lakini wamekosa nafasi za kujiunga kidato cha tano, sasa wataanzishiwa utaratibu wa kusoma stashahada ya ualimu pamoja na...

 

9 years ago

StarTV

Matumizi ya TEHAMA  kuleta mapinduzi katika elimu

Serikali imewataka wataalamu wa Teknolojia ya Mtandao kufanya upembuzi yakinifu wa matumizi sahihi ya  mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA kwenye shule za msingi nchini, ili kuhakikisha mfumo huo unakua na tija zaidi kwenye utoaji wa elimu.

Mfumo huo unaoaminika kufundishia kwa haraka zaidi, unaweza pia kutumika kama sehemu ya uendelezwaji wa haraka wa mpango wa kukuza stadi za Kusoma ,Kuandika na Kuhesabu , KKK kwa shule za msingi.

Miongoni mwa mambo ambayo yaliyokusidiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani