Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapinduzi ya elimu

Pg 1Na Aziza Masoud, Dar es Salaam

SERIKALI imetangaza kuwa itaanza kutoa elimu ya sekondari bure kuanzia Januari 2016, ili kila Mtanzania awe na elimu ya kidato cha nne katika miaka ijayo.
Imesema sambamba na kutoa elimu ya sekondari bure, sera mpya ya elimu na mafunzo inaelekeza utaratibu wa kupanga ada kwa shule binafsi ili kupunguza malalamiko ya wazazi ya kulipa fedha nyingi kwa elimu za awali.
Uamuzi huo wa serikali ulitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Rais Jakaya Kikwete, wakati...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Embukoi wapania mapinduzi sekta ya elimu

MWENYEKITI wa Kijiji cha Embukoi wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, Lazaro Lengere, amesema kwamba wamejipanga kuleta mapinduzi kwenye sekta ya elimu kwa kujali usawa wa kijinsia, kitu ambacho miaka ya...

 

9 years ago

StarTV

Matumizi ya TEHAMA  kuleta mapinduzi katika elimu

Serikali imewataka wataalamu wa Teknolojia ya Mtandao kufanya upembuzi yakinifu wa matumizi sahihi ya  mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA kwenye shule za msingi nchini, ili kuhakikisha mfumo huo unakua na tija zaidi kwenye utoaji wa elimu.

Mfumo huo unaoaminika kufundishia kwa haraka zaidi, unaweza pia kutumika kama sehemu ya uendelezwaji wa haraka wa mpango wa kukuza stadi za Kusoma ,Kuandika na Kuhesabu , KKK kwa shule za msingi.

Miongoni mwa mambo ambayo yaliyokusidiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

BAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KIPAUMBELE CHAKE NI BARABARA, ELIMU, AFYA NA WAZEE

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizungumza na Waandishi wa habari kuhusiana na Muelekeo wa Bajeti ya mwaka 2015-2016, imetowa kipaumbele katika Sekta ya Afya Barabara na Elimu, kulia Mhasibu Mkuu wa Serekali Ndg Omar Hassan King na kushoto Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Zanzibar Juma Ameir, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Afya Vuga Zanzibar.
Maofisa wa WEizara ya Fedha wakifuatilia mazungumzo hayo ya Waziri Omar na Waandishi wa habari katka ukumbi wa...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA YATOA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 175,KULETA MAPINDUZI KATIKA ELIMU YA UFUNDI NCHINI

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari. WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amesema Benki ya Dunia imetoa mkopo wa  Sh. Bilioni 175 kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuleta mapinduzi katika vyuo  vinne vinavyotoa elimu ya ufundi  hapa nchini.
Waziri Ndalichako ameyasema hayo leo Juni 3, 2020  jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi magari manne kwa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (hawapo pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...

 

5 years ago

CCM Blog

DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE

  Na.Mwandishi Wetu-MAELEZORais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali inatekekeleza utawala bora kwa wananchi kwa kuwapatia huduma za jamii zikiwemo elimu na  afya zinazotolewa bure.
 Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra

Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, wanasiasa na wasomi wametaka wananchi hao kufanya mikakati muhimu ya maendeleo na kuacha fikra mgando zinazoathiri maendeleo yao na nchi yao.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani