Mapinduzi ya elimu
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SERIKALI imetangaza kuwa itaanza kutoa elimu ya sekondari bure kuanzia Januari 2016, ili kila Mtanzania awe na elimu ya kidato cha nne katika miaka ijayo.
Imesema sambamba na kutoa elimu ya sekondari bure, sera mpya ya elimu na mafunzo inaelekeza utaratibu wa kupanga ada kwa shule binafsi ili kupunguza malalamiko ya wazazi ya kulipa fedha nyingi kwa elimu za awali.
Uamuzi huo wa serikali ulitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Rais Jakaya Kikwete, wakati...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Embukoi wapania mapinduzi sekta ya elimu
MWENYEKITI wa Kijiji cha Embukoi wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, Lazaro Lengere, amesema kwamba wamejipanga kuleta mapinduzi kwenye sekta ya elimu kwa kujali usawa wa kijinsia, kitu ambacho miaka ya...
9 years ago
StarTV05 Oct
Matumizi ya TEHAMAÂ kuleta mapinduzi katika elimu
Serikali imewataka wataalamu wa Teknolojia ya Mtandao kufanya upembuzi yakinifu wa matumizi sahihi ya mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA kwenye shule za msingi nchini, ili kuhakikisha mfumo huo unakua na tija zaidi kwenye utoaji wa elimu.
Mfumo huo unaoaminika kufundishia kwa haraka zaidi, unaweza pia kutumika kama sehemu ya uendelezwaji wa haraka wa mpango wa kukuza stadi za Kusoma ,Kuandika na Kuhesabu , KKK kwa shule za msingi.
Miongoni mwa mambo ambayo yaliyokusidiwa...
10 years ago
VijimamboBAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KIPAUMBELE CHAKE NI BARABARA, ELIMU, AFYA NA WAZEE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BXj2nIAcYKI/XtejlBGtJYI/AAAAAAALsfc/1a0wQ1YR96AsLEbzgHGWP9iNddIKskqrgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B3.56.21%2BPM.jpeg)
BENKI YA DUNIA YATOA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 175,KULETA MAPINDUZI KATIKA ELIMU YA UFUNDI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BXj2nIAcYKI/XtejlBGtJYI/AAAAAAALsfc/1a0wQ1YR96AsLEbzgHGWP9iNddIKskqrgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B3.56.21%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--kvRgJddjuM/Xtejn-Si4MI/AAAAAAALsfg/Nw8tSjtHGFE32jEDwSJVgh1m5LFm5gj0QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B3.56.22%2BPM.jpeg)
Waziri Ndalichako ameyasema hayo leo Juni 3, 2020 jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi magari manne kwa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13-768x589.jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s640/1-13-768x589.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-1-1-1024x683.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)